Je, kuna ukweli kuwa wanawake wa kiafrika hawako huru kitandani?

snowhite well said, kuna wanaume ni wabinafsi kweli. ye akifika tu ni usingiz wallah me ckuachi ulale mpk gari langu nalo lifike lol. . .
 
Last edited by a moderator:
kutojikubali na kujiamini,yani kuna watu hawako proud kabisa na miili yao,kisa labda alishaaminishwa kuwa mwanamke wa aina fulani ndo mzuri,au alishazaa,mimi hakuna kitu kinaniudhi kama nimkute mtu anajiachia kisa amezaa na kuuona mwili wake hauvutii tena sio kweli jamani,hilo tumbo unaloliona limekuwa kubwa ndio hilo lilimfanya huyo mwanaume aitwe baba,ana hayo maziwa unayo dhani yameanguka ndiyo yalionyonyesha viumbe anaowaita wanaa ladies!be proud of ur self!jivunie mwili wako onyesha kama unaupenda!nae ataupenda pia
kwenye kuukubali mwili hili ni tatizo hasa kwa wale ambao hawawez kujikeep vizuri kwa kufanya mazoez na kuepuka manyamauembe. lkn pia mtu unapaswa ujikubali ulivyo kisha unajiachia kwenye 18 kama vile unapiga penalt sasa unaweza kukuta mtu hata kuogeshwa hataki kisa aibu. jamani miye mama kama huyu nitaanza kumuogesha mimi kwanza ili kufukuza aibu zake.
 
unajua ili uwe wet si swala la mwanaume tu bali hta wewe mama kukuli manake nijuavyo kuna muda ukiongea tu na mtu wako maneno matam tayari unakuta unaanza kuwa wetted. so hapa hisia za mama mwenyewe zina husu sna tu.

ahahahahahahahha wala sio utani mwalimu!lakini ni swala la kujitambua zaidi kwa mdada!kitu ambacho wengi wanalack sasa hapo nashindwa kuyalaumu maumbile kuwa ndio sababu !
 
snowhite well said, kuna wanaume ni wabinafsi kweli. ye akifika tu ni usingiz wallah me ckuachi ulale mpk gari langu nalo lifike lol. . .

wanaume wengi wanaojinywea mipombe kuzidi huwa ni walalavi wakifika kitandani wao wanajua kukauna nazi kisha kukoroma pembeni hawajui hata kidogo kujali hisia za wenzao.
 
hivi Mwita Maranya wafikiri wanaume kuridhika kitandani ndo sababisho la kutotoka nje hadi limuwazishe mwanamke?

gfsonwin kwa maoni yangu mila na tamaduni zetu waafrika zina mchango mkubwa sana katika hili suala. Kwa sababu kuna vitu tunashindwa kufanyiana kwa sababu ya kuhofia kuonekana malaya ama mhuni. Hii ninaifahamu kwa uhakika kwa uzoefu nilionao from kabila langu.
Kitu kingine ambacho bado najaribu kupata usahihi wake ni kwamba kwa waliooa na kuolewa wanakuwa huru zaidi katika 6 kwa 6 wanapokuwa na mahawara kuliko waume zao na wake zao.
Believe me or not wanaume wengi wasioridhika na huduma za 6 kwa 6 toka kwa wake zao ama wapenzi wao ndio wengi wanaotafuta mpango wa kando. Ushawahi kujiuliza kwanini wanawake wanaofanya biashara ya ngono wanagombaniwa na wanaume kila uchao?
 
Last edited by a moderator:
kwenye kuukubali mwili hili ni tatizo hasa kwa wale ambao hawawez kujikeep vizuri kwa kufanya mazoez na kuepuka manyamauembe. lkn pia mtu unapaswa ujikubali ulivyo kisha unajiachia kwenye 18 kama vile unapiga penalt sasa unaweza kukuta mtu hata kuogeshwa hataki kisa aibu. jamani miye mama kama huyu nitaanza kumuogesha mimi kwanza ili kufukuza aibu zake.

sipati picha atakuavokukimbiza!
 
ahahahahahahahha wala sio utani mwalimu!lakini ni swala la kujitambua zaidi kwa mdada!kitu ambacho wengi wanalack sasa hapo nashindwa kuyalaumu maumbile kuwa ndio sababu !
kujitambua si ana kioo kwake avue nguo abaki uchi kisha ajithaminishe ajione kwamba yeye ni kitu bora na chema kisha akubali mwili wake utumke kutoa raha atii.
 
sasa unafikiri aibu hii husababishwa na nini Eiyer? manake lazima kuna sababu nyuma yake.

Kwanza maumbile kama hayako sawa,kwa maana ya kutokuuamini mwili wake,pia zipo aibu za kutokuzoeana,na kuna wengine kutokujua cha kufanya ila kuna wale ambao wako hivyo hawa nd hovyo zaidi!
 
Last edited by a moderator:
na mimi ndio mana nataka tujuzane hapa kwanini hawako huru kiaasi hicho?

Kwanza ni Aibu,
Mwanamke wa Kiafrika aibu ni jambo la kawaida sana!! Yaani mnaweza mkawa mmezoeana sana lakini still kunako nanii akakuonea aibu!!

Pili ni Mapozi,
Wengine wanaona kama akitoa ushirikiano wa kutosha basi mwanaume utakua umemfaidi sana!! Tena ambao hawajaolewa ndio kabisaa wana mchezo huu, maana wanakua hawaijiamini!!

Tatu Ushamba,
Mwanamke mwengine hajui afanyaje ili amridhishe mwenzie. Yaani hajafundishwa wala kuhangaika kujifunza how to handle a man kunako 6x6.

Nne Maandalizi hafifu.
Wakati mwanaume unapokua "umepasha" vya kutosha kuingia uwanjani, mwanamke anaweza kua bado mkaishia kucheza mechi "ya upande mmoja"
 
for sure.. . . yan unakuta mtu umeshavulia nguo et bado unaona aibu khaaaa. . . wengine mshipa wa aibu ushakufa ati. . me huwa nafunguka tu, ukiniona wa ajabu shaurilo!

Hako ka neno huku nilipo sina mbavu. . Teh,teh,teh,teh,teh!!
 
gfsonwin kwa maoni yangu mila na tamaduni zetu waafrika zina mchango mkubwa sana katika hili suala. Kwa sababu kuna vitu tunashindwa kufanyiana kwa sababu ya kuhofia kuonekana malaya ama mhuni. Hii ninaifahamu kwa uhakika kwa uzoefu nilionao from kabila langu.
Kitu kingine ambacho bado najaribu kupata usahihi wake ni kwamba kwa waliooa na kuolewa wanakuwa huru zaidi katika 6 kwa 6 wanapokuwa na mahawara kuliko waume zao na wake zao.
Believe me or not wanaume wengi wasioridhika na huduma za 6 kwa 6 toka kwa wake zao ama wapenzi wao ndio wengi wanaotafuta mpango wa kando. Ushawahi kujiuliza kwanini wanawake wanaofanya biashara ya ngono wanagombaniwa na wanaume kila uchao?

kwa sabu their free enh!?ndo mana kuna msemo sijui niliusikia wapi ila mi nafikiri kina mama wote tukiuapply kwenye mahusiano na ndoa zetu itakuwa poa sana !be a slut to ur hubby!kitu ambacho sijui ni nini lakini kwa wengi inakuwa ngumu
 
gfsonwin kwa maoni yangu mila na tamaduni zetu waafrika zina mchango mkubwa sana katika hili suala. Kwa sababu kuna vitu tunashindwa kufanyiana kwa sababu ya kuhofia kuonekana malaya ama mhuni. Hii ninaifahamu kwa uhakika kwa uzoefu nilionao from kabila langu.
Kitu kingine ambacho bado najaribu kupata usahihi wake ni kwamba kwa waliooa na kuolewa wanakuwa huru zaidi katika 6 kwa 6 wanapokuwa na mahawara kuliko waume zao na wake zao.
Believe me or not wanaume wengi wasioridhika na huduma za 6 kwa 6 toka kwa wake zao ama wapenzi wao ndio wengi wanaotafuta mpango wa kando. Ushawahi kujiuliza kwanini wanawake wanaofanya biashara ya ngono wanagombaniwa na wanaume kila uchao?
Mwita Maranya umenena sahihi, kwamba wengi wa anawake wanakua oppressed na hizi mila lkn ifike mahali mume amwambie mkewe kwa wazi kabisa kwamba aseme anataka nini na yeye ni mumewe atamfanyia. tatizo wababa wengine wakiambiwa hukurupuka kuona kama anadhalilishwa ama anafundishwa kitu cha kufanya hii ni mbaya sana.

pia sina hakika na kufuahia penzi la hawara zaid kuliko la aliye ndani ila hapa pana kitu kinaitwa kuzoeana hiki ndo kigugumizi kikubwa kwa wanadoa. wakishazoeana basi hakuna anayejali hisia za mwenzie.
 
Last edited by a moderator:
  • Thanks
Reactions: BAK
Kwanza maumbile kama hayako sawa,kwa maana ya kutokuuamini mwili wake,pia zipo aibu za kutokuzoeana,na kuna wengine kutokujua cha kufanya ila kuna wale ambao wako hivyo hawa nd hovyo zaidi!
Eiyer maumbile hayako sawa??? sikuelewi kilema ama?
 
Last edited by a moderator:
snowhite well said, kuna wanaume ni wabinafsi kweli. ye akifika tu ni usingiz wallah me ckuachi ulale mpk gari langu nalo lifike lol. . .

Good!Una haki ya kumsumbua,si wako bana?Sasa umsumbue nani?Tena unamwambia kabisa plz next time make sure nimeridhika ndo ulale(kwa upole lakini)
 
Last edited by a moderator:
Kwanza ni Aibu,
Mwanamke wa Kiafrika aibu ni jambo la kawaida sana!! Yaani mnaweza mkawa mmezoeana sana lakini still kunako nanii akakuonea aibu!!

Pili ni Mapozi,
Wengine wanaona kama akitoa ushirikiano wa kutosha basi mwanaume utakua umemfaidi sana!! Tena ambao hawajaolewa ndio kabisaa wana mchezo huu, maana wanakua hawaijiamini!!

Tatu Ushamba,
Mwanamke mwengine hajui afanyaje ili amridhishe mwenzie. Yaani hajafundishwa wala kuhangaika kujifunza how to handle a man kunako 6x6.

Nne Maandalizi hafifu.
Wakati mwanaume unapokua "umepasha" vya kutosha kuingia uwanjani, mwanamke anaweza kua bado mkaishia kucheza mechi "ya upande mmoja"


mapozi??? ya nini? manake nijuavyo kwenye kuiafuta raha hakunaga kusema naringa.
 
Kwanza maumbile kama hayako sawa,kwa maana ya kutokuuamini mwili wake,pia zipo aibu za kutokuzoeana,na kuna wengine kutokujua cha kufanya ila kuna wale ambao wako hivyo hawa nd hovyo zaidi!

we umelisema kihivi lakini kuna wale waaohisi hawavutii kisa wamezoeana hivi unakubalije mumeo/mpenzi akuzoee?wanawake achananeni kabisa na hii habari!tuwe na tabia za kinyonga kitandani/jikoni/chumbani/mezani/kauli/utani yote haya yanakufanya uwe mpya tuu kila siku!sio kila siku tenge la kulalia ndo hilo hilo,chakula cha usiku wali na nyama,ukiwa kitandani ni kama kanuni unashika mboo(samahani lakini nahisi naamini tupo mkoleni hapa so sio tusi hilo)unaloa unachanua miguu!siku nyingine jilaze kwenye meza yake ya kusomea,siku nyingine chapati iweke karot,siku nyingine kitanda kihamishe upande aliouzoea.siku nyingine lipia chumba hotelini mfuate ofisini mpeleke huko kwani kuna kosa kumteka mumeo,siku nyingine vaa g string,siku nyingine badili perfume unayopaka!
 
Good!Una haki ya kumsumbua,si wako bana?Sasa umsumbue nani?Tena unamwambia kabisa plz next time make sure nimeridhika ndo ulale(kwa upole lakini)
wanaume wavivu na wabinafsi ni wabaya sana katik mahusiano.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
hao wanawake wa kiafrika sijui ni wapi mnawazungumzia, maana hii mitoto ya kike ya siku izi iko huru, inanyonya mpaka midushelele, wala hata haina aibu, experience yangu kwa hawa wadada wa siku izi sijaona mwenye aibu, tena kama my ex alikuwa analalamika nikimuacha njiani, so ilikuwa nikimuacha lazima mechi irudiwe, nilikuwa nakomaa mwanaume mpaka nikikumbuka uwa nacheka, maana alikuwa hasikii utamu eti kamoja tu, anataka mpaka maji yakauke.... basi tu sema things didnt work with her lakini she was good in bed, ataikalia, atakamata meza, yani she was bossy bitc* alikuwa hakubali nimuache, gfsonwin
 
Last edited by a moderator:
Eiyer maumbile hayako sawa??? sikuelewi kilema ama?

Sanasana "utukufu" wenyewe,kama anajua haiko sawa(rejea thread ya mwanamke msumbufu ni wa hovyo) hili huchangia na kutotoa ushirikiano,anakua anahisi unaogelea hivyo hauenjoy!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom