Je kuna ukweli katika hili?

Tutor B

JF-Expert Member
Jun 11, 2011
9,025
6,554
Je kuna ukweli katika hili?
Nilikuwa na mahusiano na mwanamke; akawa amepata ujauzito lakini motto akampeleka kwa Mwanaume mwingine ambaye mi nilikuwa simfahamu.
Baada ya mwaka mmoja wa motto kuzaliwa, motto akawa na tatizo la kulia usiku. Amepelekwa hospital na kupata majibu kuwa motto ana tatizo lolote. Ameamua kwenda kwa mama yake (bibi wa mtoto) kuulizia kama anaweza kupatiwa suluhisho la tatizo la mtoto. Huko kashauliwa ampeleke mtoto kwa Kalimanzila – majibu ya Kalimanzila ni kwamba mtoto kapewa jina na mtu ambaye si baba yake. Eti baba yake ni mtu kutoka sehemu fulani (anataja sifa ambazo ni za kwangu)
Mwanamke huyo ameanza kunisumbua kwa simu eti aniletee mtoto …. Kuna ukweli katika hili? Na je nifanyeje?
 
nendeni mkapime DNA ukweli utajulikana mtoto ni wa nani.

Wasiwasi wangu ni kwa nini amtembeze mtoto kama njugu! Na nikiingia kwenye mchakato wa kuambatana na huyo mama eti tunafuatilia mambo ya DNA nahisi ataanza kunitega nirudie mchezo wetu wa zamani.
 
Ndugu,
Haya ni mambo ya imani zaidi kuliko ukweli wenyewe, hata kwetu baadhi ya watu wanaamini hivyo. Cha msingi hapa mdadisi kwa undani zaidi ili akwambie ukweli, mfano;
1) Kwanini hakukwambia kwamba ana mimba aliyobebeshwa wewe
2)Kwanini alipojifungua mtoto alimpekeka kwa mwanamme mwingine?
3) n.k

Majibu yake yatakuonyesha kwa kiasi gani ni mkweli au mwongo, alafu kama kuna uwezeano kapime DNA ili nawe usije ukalea mwana si wako.
 
..............kama anadai mwana ni wako nenda ukafanye DNA checkup......,kalimanzila ndo nani bwana,waongo hao
 
je kuna ukweli katika hili?
Nilikuwa na mahusiano na mwanamke; akawa amepata ujauzito lakini motto akampeleka kwa mwanaume mwingine ambaye mi nilikuwa simfahamu.
Baada ya mwaka mmoja wa motto kuzaliwa, motto akawa na tatizo la kulia usiku. Amepelekwa hospital na kupata majibu kuwa motto ana tatizo lolote. Ameamua kwenda kwa mama yake (bibi wa mtoto) kuulizia kama anaweza kupatiwa suluhisho la tatizo la mtoto. Huko kashauliwa ampeleke mtoto kwa kalimanzila – majibu ya kalimanzila ni kwamba mtoto kapewa jina na mtu ambaye si baba yake. Eti baba yake ni mtu kutoka sehemu fulani (anataja sifa ambazo ni za kwangu)
mwanamke huyo ameanza kunisumbua kwa simu eti aniletee mtoto …. Kuna ukweli katika hili? Na je nifanyeje?

mmmmmmh!....mimi si_comment kitu kwa jinsi nilivyo na uchungu na hasira juu ya mwanamke huyu.
 
jitahidi uonane / umuone huyo mtoto naamini kimtazamo unaweza kuelewa ni haki yako au si yako ila kutana na mtoto na *****
 
mmmmmmh!....mimi si_comment kitu kwa jinsi nilivyo na uchungu na hasira juu ya mwanamke huyu.

Ndg. hayo ulowekewa rangi ndo yananifanya nisijenge mazingira ya kufanya mjadala na huyo mwanamke.
 
Ndugu,
Haya ni mambo ya imani zaidi kuliko ukweli wenyewe, hata kwetu baadhi ya watu wanaamini hivyo. Cha msingi hapa mdadisi kwa undani zaidi ili akwambie ukweli, mfano;
1) Kwanini hakukwambia kwamba ana mimba aliyobebeshwa wewe
2)Kwanini alipojifungua mtoto alimpekeka kwa mwanamme mwingine?
3) n.k

Majibu yake yatakuonyesha kwa kiasi gani ni mkweli au mwongo, alafu kama kuna uwezeano kapime DNA ili nawe usije ukalea mwana si wako.

Mwijage; nashukuru sana kwa ushauri wako!
 
Back
Top Bottom