KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,577
- 8,596
Na rafiki yangu alinipa habari moja nikamsikiliza lakini nikawa na wasiwasi nikaona ngoja nije nii mwage hapa janvini!!
Eti aliniambia eti ukiona mkeo anasisitiza safari yakwenda mahali wiki 2 kabla na kila siku anakukumbusha jua kuna walakini!!subiri siku ya hiyo safari ukiona kila mara anajiremba anvaa nguo mara aone azijamkaa jua iko namna!!chakufanya ukiona kamaliza kilakitu sasa anakuja kukuaga msikilize then umute chumbani!Kula uroda halafu mwambie safari njema basi unaona kanyong'onyea na saa ingine anaweza ghahili!!Basi ujue alikuwa anaenda kwenye mishe zake!!Je kuna ukweli juu ya hili??:glasses-nerdy:
Eti aliniambia eti ukiona mkeo anasisitiza safari yakwenda mahali wiki 2 kabla na kila siku anakukumbusha jua kuna walakini!!subiri siku ya hiyo safari ukiona kila mara anajiremba anvaa nguo mara aone azijamkaa jua iko namna!!chakufanya ukiona kamaliza kilakitu sasa anakuja kukuaga msikilize then umute chumbani!Kula uroda halafu mwambie safari njema basi unaona kanyong'onyea na saa ingine anaweza ghahili!!Basi ujue alikuwa anaenda kwenye mishe zake!!Je kuna ukweli juu ya hili??:glasses-nerdy: