Je kuna uhusiano??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,577
8,596
Na rafiki yangu alinipa habari moja nikamsikiliza lakini nikawa na wasiwasi nikaona ngoja nije nii mwage hapa janvini!!
Eti aliniambia eti ukiona mkeo anasisitiza safari yakwenda mahali wiki 2 kabla na kila siku anakukumbusha jua kuna walakini!!subiri siku ya hiyo safari ukiona kila mara anajiremba anvaa nguo mara aone azijamkaa jua iko namna!!chakufanya ukiona kamaliza kilakitu sasa anakuja kukuaga msikilize then umute chumbani!Kula uroda halafu mwambie safari njema basi unaona kanyong'onyea na saa ingine anaweza ghahili!!Basi ujue alikuwa anaenda kwenye mishe zake!!Je kuna ukweli juu ya hili??:glasses-nerdy:
 
Wasiwasi wako BroKiiza.. Labda awe ana tabia ya kutoka nje ya ndoa..
Na hiyo sio dawa, hata ukila uroda usiku kucha na mchana kutwa... Kama ni tabia yake. Hawezi acha.
 
Wasiwasi wako BroKiiza.. Labda awe ana tabia ya kutoka nje ya ndoa..
Na hiyo sio dawa, hata ukila uroda usiku kucha na mchana kutwa... Kama ni tabia yake. Hawezi acha.
Nimekusoma lakini jamaa alisema kwa mda ule kwani hawezi kupeleka mzigo ukiwa umeshachakachuliwa!!!Ndiyo dhumuni la msingi!!
 
mmh ikioshwa mpya.........halua babu haina makombo!!
apo ni kumwita na kumwambia mama nenda uendako bt NAKUPENDA then msome uson utaona anafil gilty
au km vip mtress kaenda wap na usiku mfatilie
bt kum do haaaaaaaaaaaa si issue ni mwendo wa bafun oga kidogo paka tena mafyu fyuuuuuuuuu afta half an hr kitu kinakuwa mma ready for the next user..............!!!!!!!!!!
ZUNGUMZA NAE.TRIK KM IZI NI RAISI SANA KUZITENGUA
 
mmh ikioshwa mpya.........halua babu haina makombo!!
apo ni kumwita na kumwambia mama nenda uendako bt NAKUPENDA then msome uson utaona anafil gilty
au km vip mtress kaenda wap na usiku mfatilie
bt kum do haaaaaaaaaaaa si issue ni mwendo wa bafun oga kidogo paka tena mafyu fyuuuuuuuuu afta half an hr kitu kinakuwa mma ready for the next user..............!!!!!!!!!!
ZUNGUMZA NAE.TRIK KM IZI NI RAISI SANA KUZITENGUA

Una experience ya kutosha kwahiyo ndio huwa unanifanyia hivyo?
 
mmh ikioshwa mpya.........halua babu haina makombo!!
apo ni kumwita na kumwambia mama nenda uendako bt NAKUPENDA then msome uson utaona anafil gilty
au km vip mtress kaenda wap na usiku mfatilie
bt kum do haaaaaaaaaaaa si issue ni mwendo wa bafun oga kidogo paka tena mafyu fyuuuuuuuuu afta half an hr kitu kinakuwa mma ready for the next user..............!!!!!!!!!!
ZUNGUMZA NAE.TRIK KM IZI NI RAISI SANA KUZITENGUA
Kama umetembelea rim aziishi lazima uzima uwe unatoka kwa mbali kwa mtu kama mimi nitakujua hapa akuna chakusema ikipigwa maji mpya!!
 
HAHAHAhahahaha finest.naona unawish ukutane na magumash.....waweza pata watu km ao usihofu watakuoshea tu na kukupa na ivi unapenda sana funua funua utawekea mizoga na spice kwa juu..........na utajiramba tu...........
kakakiza kuna wataalamu wa wataalamu km wewe na wala hautajua my dear.......mh sjuii lakin......
finest acha uchokoz kijana.................
 
HAHAHAhahahaha finest.naona unawish ukutane na magumash.....waweza pata watu km ao usihofu watakuoshea tu na kukupa na ivi unapenda sana funua funua utawekea mizoga na spice kwa juu..........na utajiramba tu...........
kakakiza kuna wataalamu wa wataalamu km wewe na wala hautajua my dear.......mh sjuii lakin......
finest acha uchokoz kijana.................
Nilichokijua wewe ndo mtaalam wao!!i wish................:tonguez:
 
Nimekusoma lakini jamaa alisema kwa mda ule kwani hawezi kupeleka mzigo ukiwa umeshachakachuliwa!!!Ndiyo dhumuni la msingi!!

sasa huyo jamaa lakini si anajua kuwa huyo ni mke wa mtu? so lazima akubali mzigo uliochakachuliwa........................... Hii labda akina Kaizer et al wazee wa INFIDELITY wanaweza wakalizungumzia vizuri
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom