Ndechumia
JF-Expert Member
- Jul 15, 2011
- 1,103
- 418
habar zenyu bana, wandugu kuna she flan nilimzimikia km miez 8 hv iliyopita, nikiwa ktk harakat za kumwonyesha namjal baada ya kutoka nae out km mara 3 hv, nilisafir kwenda mkoan nilipozaliwa wakat wa pasaka. Wakat wa kurud ktk eneo langu la tukio nikamwambia huyo mpenz wangu mtarajiwa nimletee zawad gan, yy aliniambia yeyote atakayo nivutia, mi nikarud zangu town nikajitosa nikamnunulia gaun ambalo nikiamin akilivaa na kusuka rasta za kimasai angetoka bomba sana. Cha ajab kila nikimwambia tukutane nimpatie zawd yake anapiga chenga, mpaka nikakata tamaa nikata kulichoma moto. Sasa nimepata mpenz mwingine of the same size, nipo nje ya mkoa j2 ndo narud na kaniomba zawad je kuna ubaya nikampatia lile gaun na elf 30 akasuke rasta za kimasai? Note economically nimekaa vibaya, nawakilisha