Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,323
Hahahaha lolz
Jinsi ulivyosema dahh..
Ni kweli lakini nna rafiki yangu
Alienda Thai alikuwa mnene haswa<
. Karudi mie nnae pigika gym kidogo nilie..
Mwezi mmoja tu .. niajabu mtu yuko ka
Mzinga kesho anakupigia Bikini..
WaThai noma kweli....kuna kipindi hua naangalia nabaki nashangaa!!