Mzalendo80
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 2,508
- 1,338
Wanasheria wa JF naomba muongozo kama kuna sheria inayorushusu Spika Makinda a.k.a Mama Kiroboto kufukuzwa Uspika au kusitishwa kutokana na Tabia yake ya Kupendelea chama au kutetea chama badala ya Maslai ya Taifa letu.
Inakera sana jinsi unavyoangalia TV na kuona Mama Kiroboto akiwa Jeuri na mmbabe kana kwamba Bunge ni lake kumbe ni la watanzania yeye amepewa dhamana ya kulisimamia kwa maslai ya Taifa na Watanzania.
Naona Kuna haja ya kuandamana hadi Bungeni na kumtoa Mama kiroboto kwa nguvu kuwa hatufurahii ujinga au ubabe na ujeuri wake dhidi ya watanzania.
Amechagualiwa kutetea Katiba ya nchi na sio Mafisadi wa chama chake, Inakera na inauma pale mambo muhimu ya taifa yanvyoamuliwa kishogashoga na Wahuni wa CCM kwa maslai ya Chama chao sio Taifa.
Naomba Muongozo wa Sheria washeria wa JF kama kuna kipengele chochote cha kutokuwa na Imani na Spika.
Inakera sana jinsi unavyoangalia TV na kuona Mama Kiroboto akiwa Jeuri na mmbabe kana kwamba Bunge ni lake kumbe ni la watanzania yeye amepewa dhamana ya kulisimamia kwa maslai ya Taifa na Watanzania.
Naona Kuna haja ya kuandamana hadi Bungeni na kumtoa Mama kiroboto kwa nguvu kuwa hatufurahii ujinga au ubabe na ujeuri wake dhidi ya watanzania.
Amechagualiwa kutetea Katiba ya nchi na sio Mafisadi wa chama chake, Inakera na inauma pale mambo muhimu ya taifa yanvyoamuliwa kishogashoga na Wahuni wa CCM kwa maslai ya Chama chao sio Taifa.
Naomba Muongozo wa Sheria washeria wa JF kama kuna kipengele chochote cha kutokuwa na Imani na Spika.