Wadau tangu juzi nimekuwa nikipata shida kutazama baadhi ya blogs za TZ, je inawezekana kuna kampuni zimeblock zisionekane?? blog ya francisgodwin sasa ya issamichuzi au wenyewe wamezitoa ukumbini?
Kwa mfano me natumia Zantel kuna baadhi ya page za jamii nikizijibu unashanga ina stack kupost ni mpaka urudierudie kwa ujumla nadhani bandwidth imeminywa kupunguza mawasiliano kwa kasi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.