Kilimo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 777
- 192
Pole sana ndugu. Nashauri umwone Dentist akupe ushauri wa kitabibu. Ikishindikana tumia dawa inayoitwa Forever Bright tooth gel. Inapatikana kwa wasmbazaji wote wa Forever Living Products.
plz hata mie meno yangu ni mabovu sana, hiyo dawa inapatikana wapi? Tafadhari naomba msaada wako ndugu!