Je kulikoni IPP? Malalamiko na kuacha kazi kwa wafanyakazi

Status
Not open for further replies.
kwenye hii thread kuna michango mingi yenye harufu za kuutetea ufisadi,
 
Kaenda wapi tena..?

IPPMEDIA kutakuwa na matatizo madogo madogo..mie sioni tatizo hata kama wakiondoka wote.

Vijana wapewe nafasi tu!


Wasemaji wa WENGI mko MENGI, ETI SIONI TATIZO HATA WAKIONDOKA WOTE, unazijua costs za labour turnover wewe?? niliwahi kusikia kuna mtu humu ndani amesomeshwa na mengi na YUKO TAYARI KUFA NAYE

MIMI HUWA NAJIULIZA SWALI. kwanini akisemwa Mengi badala ya kujadili hoja mnaanza kumuingiza ROSTAM? nadha mengi huo alipo hata akipata KWIKWI anasema RA huyo jamani HATA KWA MATATIZO YETU WENYEWE tunawasingizia wao....
TATIZO LA WAFANYAKAZI IPP limeanza hata kabla ya EPA, najua mtabisha lakini habari ndio hiyo
 
Tatizo la kuacha kazi kwa wafanyakazi wa IPP media halikuanza kwa Sakina, ni wafanyakazi wengi sana wameondoka tena kwa kunyimwa haki zao. Nadhani mnafahamu Julius Nyaisangah kwa sasa hayupo tena redio one, je nini sababu ya kuondoka kwake? au nae mtasema mjomba wake manji?

Mengi anatakiwa abadilike na kujenga maslahi bora kwa wafanyakazi wake na si kujionyesha mwema machoni kwa watu.
 
Wasemaji wa WENGI mko MENGI, ETI SIONI TATIZO HATA WAKIONDOKA WOTE, unazijua costs za labour turnover wewe?? niliwahi kusikia kuna mtu humu ndani amesomeshwa na mengi na YUKO TAYARI KUFA NAYE

MIMI HUWA NAJIULIZA SWALI. kwanini akisemwa Mengi badala ya kujadili hoja mnaanza kumuingiza ROSTAM? nadha mengi huo alipo hata akipata KWIKWI anasema RA huyo jamani HATA KWA MATATIZO YETU WENYEWE tunawasingizia wao....
TATIZO LA WAFANYAKAZI IPP limeanza hata kabla ya EPA, najua mtabisha lakini habari ndio hiyo

Tatizo la kuacha kazi kwa wafanyakazi wa IPP media halikuanza kwa Sakina, ni wafanyakazi wengi sana wameondoka tena kwa kunyimwa haki zao. Nadhani mnafahamu Julius Nyaisangah kwa sasa hayupo tena redio one, je nini sababu ya kuondoka kwake? au nae mtasema mjomba wake manji?

Mengi anatakiwa abadilike na kujenga maslahi bora kwa wafanyakazi wake na si kujionyesha mwema machoni kwa watu.

Hata kabla ya Nyaisanga tena sio la kuacha kazi tu hata la kuchelewesha mishahara, kuna wakati nadhani mwaka jana wafanyakazi wa The Guardian walifikia kugoma, charity begins at home utatoaje mamilioni ya fedha nje wakati ndani mwako watoto wanakula ugali kwa chumvi, mimi pale manyanyaso yaliyopo nayajua, IPP is a typical family business mnasema eti mwenyekiti hawezi kuingilia uchapishaji wa magazeti na matangazo ya TV, thubutu hayo yako kwenye theory za ethics, regulations, procedures, law whatever you call it, which is contrary to the practical part of it.
 
Binafsi hili la Sakina Datoo linanikwaza kidogo.Sakini ni baba mmoja mama mmoja na Kassim Dewji wa Simba Sports Club.Kassim Dewji Na Mohamed Dewji a.k.a Mo wa Mohamed Enterprise ni mtoto wa shangazi na mjomba(1st cousins). Mo ana uswahiba wa karibu na vibopa wenzake ambao kidini ni wa Ithnashari kama yeye ambao baadhi mzee mzima Mengi aliwataja hadharani akiwaita mapapa.Can you see the connection? In other words hawa binamu zake Sakina watamwacha kweli atumikie 'kaffir'?

hilo linawezekana wakuu na kuna tetesi Datoo anaenda new habari ila tusubiri tuone
 
Maumivu ya kichwa huanza polepole. na maumivu yakizidi ni vema kwenda hospital kupata tiba si kumuona dakitari tu!
 
matatizo ni makubwa, sasa hivi ipp media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.


huu ni unafiki tu ..au umetumwa NDUGU YANGU..??? Huu unafanana na umbea wa kaBinti kanako anza kuota vimatiti...
Hata wafanyakazi wa serikali huwa wanacheleweshewa kutapa mishahara ndugu yangu..

Mishahara ina mambo mengi , haitoki tu kama maji ya bomba...kama wewe umebahatika walipwa mapema mapema kama walimu heri yako...
Ila hii ni unafiki na ushakunaku wa kutaka kumharibia jina mzee mengi..taarifa za kishamba shamba achana nazo ...!!

Mkapa na ufisadi wake wote ameshindwa kuwalipa wachimbaji wa makaa ya mawe mishahara iwe ipp ?

Kwanza anayeondoka na kuacha kazi maana yake anapisha nguvu kazi mpya.. Vijana wasomi wamejaa wenye prof.zao wanaweza pata kazi hapo.

Jiulize kulikoni rais aende kuomba misaada kwa wazungu kila kukicha ?????
 
Kucheleweshewa mishahara sio hoja..! those things happens kila mahali..! kwanini mzungumzie Ipp tu ?

Kama kuacha kazi kwasababu ya kucheleweshewa mishahara wangeanza kuacha wafanya kazi wa serikalini...!

Those are like housegirls, they choose where to go and work..!! Hakuna anaye katazwa kuacha kazi au kuhamia sehemu zenye maslahi..Ipp sio mungu kwamba wapo perfect kwa kila kitu..! Scratching could not make it worse..!! Wamehama watano wakati Ipp ina zaidi ya wafanyakazi 500.
Wangapi tume chelewa kulipa bills za maji, umeme,school fees za watoto na kadhalika ? Kwa mwajiri yeyote hili analitambua,na sina shaka kama maoni yake yatakuwa tofauti zaidi ya maswala ya kiutendaji..!
 
Last edited:
mimi naona mzee mengi anavyotoa michango watu kinawauma sana....
ni kawaida watu kuacha kazi lakini inavyoongelewa ni kama watu wanahama kazi kwa mengi tuu na mengi ndio halipi mishahara

hizo ni chuki za milioni 400 zinazoenda kwa wananchi na sio mkutano wa umoja wa vijana au kampeni ya mama umechemsha UWT
 
Wana jf tusaidieni ushauri imekuwa ni tabia hapa kwetu ipp,mishahara kuanza kutolewa kuanzia tarehe 5 mpaka 10 ya mwezi unaofata,that means baada ya siku 35 mpaka 40.

Cha kushangaza wahindi wetu wao wanajilipa tarehe 25th ya mwezi,lakini pia kumeibuka mtindo wakupeana kupitia dirishani kwenye tarehe 1 au 2 ya mwezi uanweza kupewa asilimia 20 au 30 ya mshahara wako wakati ukisubiri balance ingine (yaani baada ya siku 32 uanapata asilimia niliotaja)

jamani kulikoni huu sio unyonyaji?

Mbona uachi kazi na kukimbilia new habari utalipwa on time
 
Wana jf tusaidieni ushauri imekuwa ni tabia hapa kwetu ipp,mishahara kuanza kutolewa kuanzia tarehe 5 mpaka 10 ya mwezi unaofata, that means baada ya siku 35 mpaka 40.

Cha kushangaza wahindi wetu wao wanajilipa tarehe 25th ya mwezi,lakini pia kumeibuka mtindo wakupeana kupitia dirishani kwenye tarehe 1 au 2 ya mwezi uanweza kupewa asilimia 20 au 30 ya mshahara wako wakati ukisubiri balance ingine (yaani baada ya siku 32 uanapata asilimia niliotaja)

jamani kulikoni huu sio unyonyaji?
C'mon. Umepataje 35 mpaka 40?
Ukipewa mshahara tarehe 9, mwezi unaofuata tarehe 7, hiyo ni tofauti ya siku zisizozidi 30.
Kaenda wapi tena..?

IPPMEDIA kutakuwa na matatizo madogo madogo..mie sioni tatizo hata kama wakiondoka wote.
Vijana wapewe nafasi tu!

hatutegemei GEMBE akaongea kauli tofauti na hii!
ha-ha-hah!
Hiyo kauli ina tatizo au umeisifia?
Mstari unaofuata nao umeusoma?
 
Ku-resign kwa waandishi hao wawili na mwingine anayeitwa Joyce Kisaka kulitarajiwa baada ya dada yao SAKINA kupigwa chini kutokana na fitna alizoanza kuziingiza IPP Media. Hawa wote walishikwa mkono na Sakina kupelekwa The Guardian wakitokea Mwananchi kwa ahadi ya mishahara minono. Nadhani ni kutokana na ushawishi wa Sakina huyo huyo ndio maana wame-resign. Bila shaka kuna kitu wanataka kufanya kwani katika siku za hivi karibuni wamekuwa karibu sana na RA na wapambe wake akina Zitto Kabwe na Omari.
Huyo Sakina Dewji 'Datoo' aliichanganya The Guardian kwa fitna kama kaka yake Kassim Dewji alivyoichanganya Simba SC wakati fulani. Ni watu hatari sana na bila shaka fitna ipo kwenye damu.

We ndio mzushi, mzandiki, mfitini, mjinga, hohehahe anayethamini tumbo lake lilojaa bia za kujikomba usiye na haya wala aibu....

Hiyo kampeni yenu ya kuwataka watanzania wote wawaamini kuwa ninyi na bosi wenu ndio MASIHA wa madhila ya watanzania katu haitafanikiwa. Kinachomuumiza Mengi ni EGO na kuzungukwa na matapeli kama wewe ambao mko tayari kufanya kila kitu ili muendelee kumuibia. Ninyi ndio mliofanya sherehe ya kusheherekea kifo cha mwanaye Motie mkiamini kuwa kuondoka kwake na kumuacha Mengi na wanawe wengine wasio makini ndio nahasi kwenu kumaliza vijumba vyenu.....

Hiyo strategy ya kutaka kumfitinisha kila asiyekubali uozo wenu na kumuhusisha na wezi wenzenu waliowazidi kete kama Rostam Aziz kamwe haitawasaidia. No wonder hata Kikwete kashtukia mkijidai mnamsaidia kazi wakati mkiwa pembeni hamuishi kumzodoa na kumuita mswahili asiyeweza kuongoza nchi....

omailyas
 
Matatizo ni makubwa, sasa hivi IPP Media hata mishahara ya wafanyakazi ni shida, haitoki kwa wakati. Inasemekana waandishi ndiyo wanaolipwa tarehe 25 lakini wafanyakazi wengine tarehe kamili haijulikani. Wakati mwingine wanapewa kidogo kidogo.


Mkuu unatakiwa kujua kuwa Mengi amechokoza nyuki anamalizwa taratibu taratibu. Hataambiwa afungashe virago, yeye mwenyewe atavifunga na kuondoka kwenye biashara. Akitaka ajitahisi kuingia kwenye Siasa as soon as possible ili naye awe mmoja wao, hawezi kuwa mmoja wao from the sidelines.
 
Mkuu unatakiwa kujua kuwa Mengi amechokoza nyuki anamalizwa taratibu taratibu. Hataambiwa afungashe virago, yeye mwenyewe atavifunga na kuondoka kwenye biashara. Akitaka ajitahisi kuingia kwenye Siasa as soon as possible ili naye awe mmoja wao, hawezi kuwa mmoja wao from the sidelines.


Huu ni ushauri wa kitoto..!!! Wakati alipoanza biashara zake hakuota kwamba siasi ndio itampa utajiri alionao..!! Mbona Mzee Cheyo yupo kwenye siasa ? ana nini cha zaidi chakusema siasa imemsaidia ? Au ulikosea ulitaka Mengi awe mwana siasa wa CCM ?

Kati ya anaye acha kazi na mwenye kutoa kazi mjinga nani ? wewe unashida umepewa kazi ujikimu shida zako..ukishapata visenti na watu wakishakufahamu unavimba kichwa unakimbia kwa malingo..nini hiki...? Tusijaribu kulinganisha elimu tulizo nazo na maisha ya Kitanzania kwani havilingani..!!!

Unadhani kwa Tanzania kampuni ngapi zenye uwezo wa kuajiri na kuwalipa wafanyakazi wake wote mshahara kwa wakati ?

Hili ni tatizo na tusipojifunza watanzania kuheshimu kazi tulizo nazo kwa wakati tulio nao tutaishia kuwa omba omba..!! Better a witty fool than a foolish wit..!!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom