Je, kukosa uzazi ni tatizo la wanawake tu?

OkSIR

Senior Member
Jun 3, 2009
108
1
Je, kukosa uzazi ni tatizo la wanawake tu?
Hapana, tatizo la kukosa uzazi si wanawake tu bali hata wanaume. moja ya tatu (1/3) ya tatizo la kukosa uzazi ni wanawake (female factor) wakati moja ya tatu (1/3) ni wanaume (male factor).
Na 1/3 inayobaki husababishwa nje ya sababu za mwanamke au mwanaume.

Nini husababishwa mwanamke kukosa uzazi?
Tatizo kubwa kwa mwanamke ni ovulation, kitendo cha yai kushindwa kuwa fertilized na moja wapo ya sign kwamba yai lake halitaweza kuwa fertilized ni kutakuwa na siku zake (MP)
Pia zipo sababu ndogondogo ambazo husababisha kukosa uzazi nazo ni
Kufunga kwa fallopian tubes kunakosababishwa na magonjwa.
Matatizo (physical) ya uterus kama vile kutoa mimba.

Pia vitu kama umri, mlo hafifu, kuwa overweight au underweight, sigara, pombe, magonjwa ya siri (STD), madawa (sindano za mpango wa uzazi) na matatizo ya afya yanayosababisha kubadilika kwa homoni.
 
Back
Top Bottom