Je Kitilya wa TRA unalijua hili

MmasaiHalisi

Senior Member
Jan 15, 2009
192
23
nimatumaini yangu uzima wa afya,ninayofuraha kuchua nafasi hii kukujulisha malalamiko sisi wafanyabiashara wa kibaha,kwani hapa kibaha kuna wafanyabiashara wakubwa na wadogo,kuna huu mfumo wamalipo kutumia (EFD) machine cha ajabu sisi wafanyabiashara wadogo ukikutwa huna hiyo machine TRA kibaha wanaweza kukufungia kiduka chako,kuna mfanyabiashara anaitwa Leburu mfinanga ambaye ni mmiliki wa Contena Bar amabayo ni bar kubwa hapa kibaha. yeye mapaka leo hajaweka hiyo machine kwenye bar yake na taarifa tulizo nazo anakula na wafanyakazi wa TRA,je hii ni sawa kwa nini sisi wengine wanatunyanyasa
 
una wazo na malalamiko mazuri,nakushauri ufuate taratibu zinazohusika ikiwepo kupeleka maoni yako na malalamiko yako ofisi za tra zilizo karibu yako katika sanduku la maoni.kama unahisi tra iliyokaribu nawewe haitasikiliza maoni yako yapeleke tra makao makuu
 
nimatumaini yangu uzima wa afya,ninayofuraha kuchua nafasi hii kukujulisha malalamiko sisi wafanyabiashara wa kibaha,kwani hapa kibaha kuna wafanyabiashara wakubwa na wadogo,kuna huu mfumo wamalipo kutumia (EFD) machine cha ajabu sisi wafanyabiashara wadogo ukikutwa huna hiyo machine TRA kibaha wanaweza kukufungia kiduka chako,kuna mfanyabiashara anaitwa Leburu mfinanga ambaye ni mmiliki wa Contena Bar amabayo ni bar kubwa hapa kibaha. yeye mapaka leo hajaweka hiyo machine kwenye bar yake na taarifa tulizo nazo anakula na wafanyakazi wa TRA,je hii ni sawa kwa nini sisi wengine wanatunyanyasa

Mbona Mkuu inaonekana una chuki binafsi?
 
Kw kadiri ninavyoelewa mimi wafanya biashara wadogo-ambao hawajasajiliwa kwenye VAT,hawajaanza kulazimishwa kutumia hizo mashine,je walikufungia baishara na kukupa barua au walifanyaje na kama ni maafisa wa TRA ,walijitambusliha una majina na vitambulisho vyao?
Tupe tukusaidie hy kazi mara moja,lakini kama shida yako ni huyo Leburu afungiwe hy ni ngumu kukusaidia.
RE
 
una wazo na malalamiko mazuri,nakushauri ufuate taratibu zinazohusika ikiwepo kupeleka maoni yako na malalamiko yako ofisi za tra zilizo karibu yako katika sanduku la maoni.kama unahisi tra iliyokaribu nawewe haitasikiliza maoni yako yapeleke tra makao makuu
Kwani TRA kama wako makini hawawezi kufanyia kazi hayo mawazo au hiyo taarifa???????????? Mpaka aende HQ yao kivipi?????????????
 
una wazo na malalamiko mazuri,nakushauri ufuate taratibu zinazohusika ikiwepo kupeleka maoni yako na malalamiko yako ofisi za tra zilizo karibu yako katika sanduku la maoni.kama unahisi tra iliyokaribu nawewe haitasikiliza maoni yako yapeleke tra makao makuu
<br />
<br />


NA MAKAO MAKUU WASIPOSIKILIZA APELEKE WAPI NA UNA UHAKIKA GANI AJAFIKA KOTE UNAHISI KAAMKA TU KULIPUKA JF SABABU ANA MODERN YA KAMPUNI LA HASHA MKUU KUNA MENGINE YANAITAJI KUONWA ZAIDI YA WALIO TRA ILI WAWEZE BADILIKA...
 
nimatumaini yangu uzima wa afya,ninayofuraha kuchua nafasi hii kukujulisha malalamiko sisi wafanyabiashara wa kibaha,kwani hapa kibaha kuna wafanyabiashara wakubwa na wadogo,kuna huu mfumo wamalipo kutumia (EFD) machine cha ajabu sisi wafanyabiashara wadogo ukikutwa huna hiyo machine TRA kibaha wanaweza kukufungia kiduka chako,kuna mfanyabiashara anaitwa Leburu mfinanga ambaye ni mmiliki wa Contena Bar amabayo ni bar kubwa hapa kibaha. yeye mapaka leo hajaweka hiyo machine kwenye bar yake na taarifa tulizo nazo anakula na wafanyakazi wa TRA,je hii ni sawa kwa nini sisi wengine wanatunyanyasa
<br />
<br />


NA WEWE KULA NAO KWANI WAMEAGA WAMEACHA FAMILIA NYUMBAN NA MAJI YANACHEMKA AWAJUI UNGA WATANUNUA SAA NGAPI HIKI NDICHO WANACHONIFURAHSHA ASKARI WA POLISI TRA,,NA SASA USIKU WAZEE WA LUGALO WAMEANZA KUKAMATA PIKIPIKI NA KUOMBA ALF 5 LAANA KWELI HAWA NIMEPAKIZA MTU WA ALF 2 NIKUPE TANO ITOKE CHOONI..MKUU BADO AWAJAANZA NA WAKIANZA NA MIIMI NAJINYONGA KAMA ZOMBE ALIVYOSEMMA MACHINE YENYEWE MILLIONS NAINGIZA NGAPI
 
Back
Top Bottom