MmasaiHalisi
Senior Member
- Jan 15, 2009
- 192
- 23
nimatumaini yangu uzima wa afya,ninayofuraha kuchua nafasi hii kukujulisha malalamiko sisi wafanyabiashara wa kibaha,kwani hapa kibaha kuna wafanyabiashara wakubwa na wadogo,kuna huu mfumo wamalipo kutumia (EFD) machine cha ajabu sisi wafanyabiashara wadogo ukikutwa huna hiyo machine TRA kibaha wanaweza kukufungia kiduka chako,kuna mfanyabiashara anaitwa Leburu mfinanga ambaye ni mmiliki wa Contena Bar amabayo ni bar kubwa hapa kibaha. yeye mapaka leo hajaweka hiyo machine kwenye bar yake na taarifa tulizo nazo anakula na wafanyakazi wa TRA,je hii ni sawa kwa nini sisi wengine wanatunyanyasa