IrDA
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 743
- 350
Eti Kiswahili kinajitosheleza...nyoooo!!
Hakijitoshelezi hata kidogo
Jana nilikuwa na mjumbe mmoja mkongwe wa TATAKI(Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili).Bila aibu akashindwa kunipa tofauti ya maneno HEAT na TEMPERATURE katika kiswahili.Na akakubali kuwa kiswahili hakijitoshelezi.Nyie mwasemaje?
Hakijitoshelezi hata kidogo
Jana nilikuwa na mjumbe mmoja mkongwe wa TATAKI(Taasisi ya Taaluma ya Kiswahili).Bila aibu akashindwa kunipa tofauti ya maneno HEAT na TEMPERATURE katika kiswahili.Na akakubali kuwa kiswahili hakijitoshelezi.Nyie mwasemaje?