Kitila,
Nakubaliana na wewe hapo juu. Tumwache Lowassa aseme, katika kusema ataropoka na kuwataja wezi wenzake kibao.
JK ananisikitisha sana hasa hili suala la EPA, mimi nilitegemea watu wakamatwe mara moja na pia awape E&Y kazi nyingine ya kuchunguza BOT kuanzia miaka ya 90. Inaelekea tumeibiwa pesa nyingi sana.
Hizo pesa zinatosha kujenga daraja la Kigamboni, kutengeneza reli ya kati, kujenga hata bandari za Tanga na Mtwara.
Kwa kweli hii sasa inasikitisha sana, inaudhi mno. Wananchi tusikubali huu
wizi wa BOT upite hivi hivi, lazima JK alazimishwe kuchukua hatua.
Nakubaliana na wewe hapo juu. Tumwache Lowassa aseme, katika kusema ataropoka na kuwataja wezi wenzake kibao.
JK ananisikitisha sana hasa hili suala la EPA, mimi nilitegemea watu wakamatwe mara moja na pia awape E&Y kazi nyingine ya kuchunguza BOT kuanzia miaka ya 90. Inaelekea tumeibiwa pesa nyingi sana.
Hizo pesa zinatosha kujenga daraja la Kigamboni, kutengeneza reli ya kati, kujenga hata bandari za Tanga na Mtwara.
Kwa kweli hii sasa inasikitisha sana, inaudhi mno. Wananchi tusikubali huu
wizi wa BOT upite hivi hivi, lazima JK alazimishwe kuchukua hatua.