Je, Kikwete ni mdini?

masanilo hata kama wewe nimchungaji lakini mwache mwenzio aseme ukweli hili jukwaa la kutoa maoni tena yaukweli nauwazi kama aliyotoa mtoa mada,tusikwepe ukweli,penye ukweli uongo hujitenga,jk hana udini wala habagui,wala hachagui viongozi kwa udini kama mnavompakazia,mnyonge mnyongeni hakiyake mpeni.
Ina maana masanilo yeye asitoe maoni yake.
 
Sasa MODS unaweza kuitoa hii thread naona mwanzisha hoja alikuwa hana hoja ya maana kazi kuhesabu majina ya mawaziri tu, amekimbia.
 
SOKOMOKO nimeona wadau wamekutaja mara nyingi kwenye pumba posters guru.
imekuwaje??
 
Mods, na wana JF,

Haitakuwa busara kwa thread hii kuipeleka sehemu ya dini, inajulikana sehemu hiyo haifikiwi na watu wengi hapa JF ikiwa mimi mmoja wapo.

Ni matumaini yangu kuweza kuiaccess hii thread na kuona mijadala ikichangiwa ili kuweza kujua ukweli.
Sokomoko, 'si ulitaka chai chai mbona sasa unasema unaunguaaaa' unakimbiaaaaaaaaa. Ulitegemea MODS watahamisha thread mapema ili uanze kulialia kuwa wako biased ukome siku nyingine usilete udini wako hapa.
 
Sokomoko [FONT=Franklin Gothic Medium said:
Jumla yote ni 50 kati yao wakristo 32 na waislam 18.[/FONT]

Wakristo 64%
Waislam 36%

Ukiangalia wakuu wa mikoa na wilaya utaona wakristo ni wengi zaidi ya waislam sasa sijui na sifahamu huo udini wa JK upo wapi???

Mwenye data tafadhali azilete jamvini.


Kwa takwimu hizi mahiri unaweza kuwashawishi watu na hasa wale wanaofikiri uwingi wa vitu ndio umuhimu wake. Nime jaribu kuangalia wizara ambazo ni roho ya nchi zina watu wa dini gani, angalia fedha, ulinzi, mambo ya ndani wanaongoza hizi ni wa dini gani?

Usikasirike kwa sababu ya watenda mabaya, usiwahusudu wafanyao ubatili, usimkasirikie yeye afanikiwaye katika njia yake, wala mtu afanyae hila, ukomeshe hasira, uache ghadhabu, usikasirike, mwisho wake ni kutenda mabaya. Maana watenda mabaya watahariwa, Bali wamngojao bwana ndio watakaoirithi nchi.
 
mwenye hoja kikwete ni mdini alete plz

Ili upate jibu zuri, weka orodha ya wateule wake wote aliowateua kuanzia mawaziri, manaibu, makatibu wakuu, wakurugenzi, manaibu wao, majaji wa mahakama kuu na na mahakama ya rufaa, wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na wasaidizi wao, wanaomsaidia kwenye CCM CC na NEC na pia wakuu wa taasisi na mashirika ya uma na wasaidizi wao.

Hata hivyo ujue kuwa dini ya wateule haiwezi kuwa kipimo cha udini ila ni nani kashika taasisi nyeti kama wizara ya fedha, NSSF, Usalama wa taifa.

Na siyo nani kashika taasisi nyeti tu, bali na yeye ni mdini kiasi gani. Kumbuka kutofautisha majina ya kikristo na wakristo. Mimi ninajina la kikristo lakini kanisani nilienda mara ya mwisho miaka mitano iliyopita nilipohudhuria harusi ya ndugu yangu. Sina uhakika kama bado ni mkristo au la. Kujua kuwa JK ni mdini, angalia matendo ya watu anaowateua kushika taasisi nyeti kwani kwa uwezo alio nao (kama ulivyotoa mfano wa ze utamu) anaweza kujua fulani ana tabia ya udini na hivyo kumteua ni kuwa anamuunga mkono.

Hivyo ni kazi kwako wewe mtoa hoja kufanya hiyo homework utupe jibu.
 
i wish kuitwa "joseph" au "michael" kungemaanisha ukristo kweli au kuitwa "rajabu","hamisi" nk kungemaanisha uislaam!
Lakini hili ni jambo ambalo lipo deep sana,kiasi kwamba tunaweza tusimalize hapa kulijadili kwa leo,ila swala ni moyoni mwa kila mmoja kuna dini na mtazamo wa aina gani?
 
Swali langu je kwa nini Kikwete anateua mawaziri wengi Wakristo?? Je waislamu hawana uwezo au wakristo ndio wengi kwa uwiano au Kikwete ni mdini anayebagua watu wa dini moja na kupendelea dini nyingine bila sababu??????? Ana sababu gani ya kufanya hivi??? Au ana agenda ya siri ili kuzuga watu?? Sielewi jamani!!!!!
 
Yaani thinking ya watanzania ni ya ajabu sana. Kwa hiyo rais anapoteua mawaziri huwa anatakiwa kufikiria kwamba anateua waziri wa kutoka dini gani? Hii ni ajabu sana. Katu nisingefikiria kwamba Rais makini atakaa afikirie habari ya mtu fulani kuwa waziri kutokana na dhehebu lake. Kwani anateua mawaziri wa kufanya kazi za serikali au watumishi wa misikiti na makanisa? Kama si wahudumu wa makanisa na misikitiki, dini zinahusikaje kwenye ufanyaji kazi wa waziri.

Kwa imani yangu na kwa uelewa wangu katika suala la uongozi, mtu anateuliwa kutokana na ufanyaji kazi wake. NImeshakuwa kiongozi katika taasisi ya serikali, sikuwahi hata siku moja kutoa priority ya employment kwa kuangalia dini, katu. Labda kuna wakati tuliwahi lazimishwa tuajiri kwa kuangalia gender. Lakini kuongelea habari za udini katika utoaji wa nafasi katika serikali, ni ukosefu wa umakini na ufahamu wa nini Tanzania ya sasa inahitaji.
 
Nimegundua humu ndani kuna watu(members wa JF) ni wadini sana na ni hao no mashabiki wa CCM/JK nao ni;
1. Malaria Sugu
2. Sokomoko
3. Dar es salaam
..................
Memsahau na rafiki yangu masanilo yeye mpe namba 4 hapojuu ni bingwa wakuwakashifu na kuwatusi waislam,tuache kupandikiza chuki zakidini ktk taifaletu
ni hatarisana kwa mustakbali wa taifaletu,mama yetu Tanzania.
 
My friend Rev Masa! naona nimekuwa nikifuatilia sana msisitizo wako na mabishano na hawa watu wa type ya kina MS! from their comments, opinions etc, i have came up into a conclusion. My conclusion mainly based on the background, knowledge and upbringing of our fellow members the likes of MS and co, my conclusion triggered my doubts to those facts, mentioned above!. These individuals have shown the elements of fanaticism and the way i read you is as you have enormous knowledge and because of that you should ignore these kind of perpetrators of holly wars and fanaticism. We should all acknowledge that Islam is a religion just like any other, and it has got decent followers all over the world. People like MS and co seems to have little or lacking the knowledge of what Islam is! please do not take their poor knowledge about this religion as a whole. I am a Christian in a much diverse family of both Muslims and Catholics, and i find MS very very annoying individual in this, Sorry Mods!! We are all the same in the eggshell!! Rev please find the quote i adore!


[SIZE=-1]Men become civilized, not in proportion to their willingness to believe, but in proportion to their readiness to doubt.[/SIZE]
[SIZE=-1]H.L. MENCKEN, as quoted in James A. Haught's 2000 Years of Disbelief[/SIZE]
 
Mods, na
Ni matumaini yangu kuweza kuiaccess hii thread na kuona mijadala ikichangiwa ili kuweza kujua ukweli.


Sitegemei kuwa JF/Mods wapo kwa ajili ya kuchochea chuki dhidi ya Serikali iliyopo madarakani kwani kama itakuwa ni hivyo basi wanafanya jambo la hatari sana linaloweza kutugharimu. Tumeona ile thread ya OIC ikiachiwa kuchangiwa na kila mtu na mwenye kila tusi dhidi ya dini ya kiisamu na kejeli akiachiwa kwa marefu na mapana. Kwahiyo sioni sababu ya hii thread ya kisiasa zaidi kutupiwa huko kusikojulikana.


Mwisho napenda kutoa angalizo:

Sio haki kuhamisha thread ya mtu na kuipeleka sehemu asiyokuwa na access nayo. Hapa JF ni sehemu ya kutoa mawazo na kila mmoja aheshimiwe mawazo yake na sio kufungwa na kutupwa kapuni.

Kuna tetesi Zimeenea mtaani kuwa baada ya JK kuingia madarakani aligomea ruzuku iliyokuwa ikitolewa na Serikali kuendesha makanisa pamoja na taasisi zinazoendeshwa na makanisa katoliki nchini kama shule, hospitali na vyuo. "The Government shall provide financial assistance to Church institutions and shall seek financial assistance to Church run social services in its bilateral negotiations with foreign governments"

source
:The Memorandum of Understanding between the Government of the United Republic of Tanzania and the Tanzania Episcopal Council (TEC) and the Christian Council of Tanzania-page 3 (attached herewith)

Nasikia JK aliwaambia kuwa nchi hii haina dini na itakuwa ubaguzi kuwapa ruzuku watu wa dini moja na kuwaacha wa dini nyinginezo akatolea mfano kuna waislam, wabudda, masingasinga, wahindu na wasiokuwa na dini je hao hawana haki ya kupewa ruzuku? na serikali ikitoa ruzuku kwa hawa wote itawezaje kujiendesha? Basi bora mkose wote. Hapo naona JK aliona mbali sana ila hakujua kama anajiharibia yeye na chama chake. Na ndio maana kwa kutumia mlango wa nyuma kuna chama kikasimamisha watumishi wa Mungu kwa wingi na kufanikiwa kupenya kila pembe ya Tanzania. Inasemekana Kanisa liliplay part kubwa kwa mafanikio ya chama fulani. Na hizo zilikuwa ni hasira za watumishi wa kanisa.

KUNA TETESI KUWA WAFUATILIAJI WA MAMBO WAMEITHIBITISHIA SERIKALI UBADHIRIFU MKUBWA WA RUZUKU ILIYOKUWA INATOLEWA NA SERIKALI SAMBAMBA NA MISAMAHA YA KODI. MISAMAHA HII YA KODI NI ILE YA UAGIZWAJI MAGARI NA VITU MBALIMBALI KUPITIA TRUSTEES ZA MAKANISA. NA TANGU KUANZA KUBANWA KUMEKUWA NA UAIGIZAJI WA VITU MDOGO TOFAUTI NA HAPO MWANZO, MAANA INASEMEKANA WAJANJA WALIKUWA WANATUMIA MWANYA HUO KUJINUFAISHA.

Ukiunganisha picha itaona hapo ndio chanzo hasa cha timbwili hili mnaloliona leo lililo vikwa ngozi ya vyama vya siasa ( upinzani ). Hapo awali Wakristo na CCM walikuwa chanda na pete. Ilikuwa ni kosa la jinai kwa mkristo mwenye imani kuwa upinzani ndio maana hata viongozi wao wengi mwaka 2005 walisema JK "chaguo la Mungu"

Leo hii ukitia pua tu JF na maeneo mengi kwenye mitandao na mitaani utakutana na shutuma kuwa JK ni Mdini, lakini hawatoi facts za udini wake.

Je, JK ni mdini?

Orodha ya Baraza la Mawaziri na Manaibu wa Wizara 26 za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2010 - 2015

  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe (Mkristo)
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira (Mkristo)
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa (Mkristo)
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi (Mkristo)
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu (Mkristo)
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika (Mkristo)
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri (Mkristo)
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii)Kassim Majaliwa -
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu (Mkristo)
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani (Mkristo)
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe (Mkristo)
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo (Mkristo)
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro (Mkristo)
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga(almaaruf Mawe Matatu) (Mkristo)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka (Mkristo)
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye (Mkristo)
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige (Mkristo)
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja (Mkristo)
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli (Mkristo)
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenz
 
if u want to know mtu ni mpuuzi, arrogant, hooligan, just wacha aongee utajua, huyu sokomoko ni mdini kama JK hapa haongelei mahakama ya kadhi, leo kaja na vidubwasha, hawa ni wale wanaokwenda kwa Sheikh Yahya, mambo ya giza, all u r posts are poor, na niseme, akili ndogo sana
ndio maana unamtetea JK, cheza na maisha yako na si ya watu, koma, u r an idiot to hell
 
kila kukicha ukweli unazidi kuanikwa. hebu tuwe waungwana na tuseme jamani rasilimali za nchi hii ni haki yetu sote. soi kikundi kidogo au kanisa au msikiti. tupiganie utaifa ili tuishi kwa amani. ukweli ubaki kuwa ukweli hata kama unauma.
 
Mods, na
Ni matumaini yangu kuweza kuiaccess hii thread na kuona mijadala ikichangiwa ili kuweza kujua ukweli.


Sitegemei kuwa JF/Mods wapo kwa ajili ya kuchochea chuki dhidi ya Serikali iliyopo madarakani kwani kama itakuwa ni hivyo basi wanafanya jambo la hatari sana linaloweza kutugharimu. Tumeona ile thread ya OIC ikiachiwa kuchangiwa na kila mtu na mwenye kila tusi dhidi ya dini ya kiisamu na kejeli akiachiwa kwa marefu na mapana. Kwahiyo sioni sababu ya hii thread ya kisiasa zaidi kutupiwa huko kusikojulikana.


Mwisho napenda kutoa angalizo:

Sio haki kuhamisha thread ya mtu na kuipeleka sehemu asiyokuwa na access nayo. Hapa JF ni sehemu ya kutoa mawazo na kila mmoja aheshimiwe mawazo yake na sio kufungwa na kutupwa kapuni.

Kuna tetesi Zimeenea mtaani kuwa baada ya JK kuingia madarakani aligomea ruzuku iliyokuwa ikitolewa na Serikali kuendesha makanisa pamoja na taasisi zinazoendeshwa na makanisa katoliki nchini kama shule, hospitali na vyuo. "The Government shall provide financial assistance to Church institutions and shall seek financial assistance to Church run social services in its bilateral negotiations with foreign governments"

source
:The Memorandum of Understanding between the Government of the United Republic of Tanzania and the Tanzania Episcopal Council (TEC) and the Christian Council of Tanzania-page 3 (attached herewith)

Nasikia JK aliwaambia kuwa nchi hii haina dini na itakuwa ubaguzi kuwapa ruzuku watu wa dini moja na kuwaacha wa dini nyinginezo akatolea mfano kuna waislam, wabudda, masingasinga, wahindu na wasiokuwa na dini je hao hawana haki ya kupewa ruzuku? na serikali ikitoa ruzuku kwa hawa wote itawezaje kujiendesha? Basi bora mkose wote. Hapo naona JK aliona mbali sana ila hakujua kama anajiharibia yeye na chama chake. Na ndio maana kwa kutumia mlango wa nyuma kuna chama kikasimamisha watumishi wa Mungu kwa wingi na kufanikiwa kupenya kila pembe ya Tanzania. Inasemekana Kanisa liliplay part kubwa kwa mafanikio ya chama fulani. Na hizo zilikuwa ni hasira za watumishi wa kanisa.

KUNA TETESI KUWA WAFUATILIAJI WA MAMBO WAMEITHIBITISHIA SERIKALI UBADHIRIFU MKUBWA WA RUZUKU ILIYOKUWA INATOLEWA NA SERIKALI SAMBAMBA NA MISAMAHA YA KODI. MISAMAHA HII YA KODI NI ILE YA UAGIZWAJI MAGARI NA VITU MBALIMBALI KUPITIA TRUSTEES ZA MAKANISA. NA TANGU KUANZA KUBANWA KUMEKUWA NA UAIGIZAJI WA VITU MDOGO TOFAUTI NA HAPO MWANZO, MAANA INASEMEKANA WAJANJA WALIKUWA WANATUMIA MWANYA HUO KUJINUFAISHA.

Ukiunganisha picha itaona hapo ndio chanzo hasa cha timbwili hili mnaloliona leo lililo vikwa ngozi ya vyama vya siasa ( upinzani ). Hapo awali Wakristo na CCM walikuwa chanda na pete. Ilikuwa ni kosa la jinai kwa mkristo mwenye imani kuwa upinzani ndio maana hata viongozi wao wengi mwaka 2005 walisema JK "chaguo la Mungu"

Leo hii ukitia pua tu JF na maeneo mengi kwenye mitandao na mitaani utakutana na shutuma kuwa JK ni Mdini, lakini hawatoi facts za udini wake.

Je, JK ni mdini?

Orodha ya Baraza la Mawaziri na Manaibu wa Wizara 26 za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 2010 - 2015


  1. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utawala Bora - Mathias Chikawe (Mkristo)
  2. Waziri wa Nchi, Oisi ya Rais, Mahusiano na Uratibu - Steven Wassira (Mkristo)
  3. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma - Hawa Ghasia
  4. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Muungano - Samia Suluhu Hassan
  5. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais, Waziri wa Mazingira - Dk. Terezya Luoga-Hovisa (Mkristo)
  6. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Sera, Uratibu na Bunge - William Lukuvi (Mkristo)
  7. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Waziri wa Uwekezaji na Uwezeshaji - Mary Nagu (Mkristo)
  8. Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa - George Mkuchika (Mkristo)
  9. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (i) - Aggrey Mwanri (Mkristo)
  10. Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (ii)Kassim Majaliwa -
  11. Waziri Wizara ya Fedha - Mustapha Mkullo
  12. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (i) - Gregory Teu (Mkristo)
  13. Naibu Waziri Wizara ya Fedha (ii) - Pereira Ame Silima
  14. Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Shamsi Vuai Nahodha
  15. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi - Balozi Khamis Suedi Kagasheki
  16. Waziri wa Katiba na Sheria - Selina Kombani (Mkristo)
  17. Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Bernard Membe (Mkristo)
  18. Naibu Waziri Wizara ya Mambo ya Nje - Mahadhi Juma Mahadhi
  19. Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa - Dk. Hussein Ali Hassan Mwinyi
  20. Waziri Wizara yaMaendeleo ya Mifungo - Dk. Mathayo David Mathayo (Mkristo)
  21. Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Mifungo - Benedict Ole Nangoro (Mkristo)
  22. Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Profesa Makame Mnyaa M'barawa
  23. Naibu Waziri Wizara ya Mawasiliano Sayansi ya Teknolojia - Charles Kitwanga(almaaruf Mawe Matatu) (Mkristo)
  24. Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Profesa Anna Kajumulo-Tibaijuka (Mkristo)
  25. Naibu Waziri Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi - Goodluck Ole Medeye (Mkristo)
  26. Waziri Wizara ya Maliasili na Utalii - Ezekiel Maige (Mkristo)
  27. Waziri Wizara ya Nishati na Madini - William Mghanga Ngeleja (Mkristo)
  28. Naibu Waziri Wizara ya Nishati na Madini - Adam Kighoma Ali Malima
  29. Waziri Wizara ya wa Ujenzi (Barabara na Viwanja vya Ndege) - Dk. John Pombe Magufuli (Mkristo)
  30. Naibu Waziri Waziri Wizara ya wa Ujenz


  1. Kwanza karibu sana JF Mkuu! pili hii hili swali lako ni zuri na lilisha kuwaga hapa before!! sasa ni maada ambayo haina kichwa wala mguu! na kama unataka sana kuiona sasa uende uitafute hiyo thread! It is a nonsense rumor of the century! good luck!
 
Acha inferiority complex..wewe na wenzako kama mliona usilamu unatukanwa mlibonyeza kitufe kuwaambia MODS? Mliwaarifu wakakataa kurekebisha ? Sasa kama hamkufanya hivyo kuwalaumu MODS waonekane kama ni maadui wa Usilamu huoni kama ni kuleta mfarakano? Kama wewe na wenzako mnaona JF inapinga usilamu, tangia muanze kulalamika mbona bado mpo? Nyie ni wanafiki wakubwa na ningekuwa MOD mngechezea server ban nyote nyie.

Mbona Rafiki yangu unakuwa Mkali namna hivyo? X-PASTER na mwenzake Sokomoko wana haki ya kuzungumza ukweli wa mambo. Mkuu Punguza hasira hasira hasara. Jamii Forums haina Dini wala haipendelee Dini yoyote ile hapa tupo Kuzungumza wazi na ukweli hakuna kutukanana wala kuvinjiana

mtu kwa mtu heshima waache wazungumza wanayofikiria moyoni mwao na wewe towa mawazo yako sio kuwatishia watu kwa neno (BAN). Hapa ni (The Home of Great Thinkers). WHERE WE DARE TO TALK OPENLY Punguza hasira mkuu Abdulhalim.
 
Back
Top Bottom