Hekima Ufunuo
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 220
- 11
Heshima Mbele wakuu.
Natafakari hili, JK alisaini sheria ya rushwa ya uchaguzi hadharani na kwa mbwembwe sana akitangazia ulimwengu kuwa ana dhamira ya dhati ya kupambana na rushwa katika taifa hili na hasa kwenye uchaguzi huu.
Je? anaweza kusimama kwenye kampeni zake kama mgombea au kama Raisi wa nchi na kuwambia wananchi wasiwachague wote waliotoa rushwa????????
Natafakari hili, JK alisaini sheria ya rushwa ya uchaguzi hadharani na kwa mbwembwe sana akitangazia ulimwengu kuwa ana dhamira ya dhati ya kupambana na rushwa katika taifa hili na hasa kwenye uchaguzi huu.
Je? anaweza kusimama kwenye kampeni zake kama mgombea au kama Raisi wa nchi na kuwambia wananchi wasiwachague wote waliotoa rushwa????????