Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nini kitatokea ikiwa Rais Kikwete ameridhia mapendekezo ya Maboresho ya Sheria ya kusimamia mchakato wa Katiba Mpya na Serikali yake imeshaandaa marekebisho hayo na tayari kumeripotiwa jaribio la wabubge wa CCM kupinga muafaka wa Kikwete,Serikali na CHADEMA katika kikao hiki cha Bunge?