Pia kuna kijiji kipo anga za Iringa huko kinaitwa IBANYA VANU sijui nacho ni asili ya jina
Huko kweli Tanganyoka,Halmashauri ya kijiji inamiliki shule?
Oohh Kumbe ndio tafsiri ya Tanganyika!!! Nilifikiri maana yake ni:
TANGA-Angaika
NYIKA-Porini
Kwani kipo wapi hiki kijiji? Navyofahamu mimi hata maghribi mwa ziwa Tanganyika kuna wilaya inaitwa Tanganyika, ipo jimbo la Katanga kama sikosei....
na hili la Itutu Kigi..?Pia kuna kijiji kipo anga za Iringa huko kinaitwa IBANYA VANU sijui nacho ni asili ya jina
Swali lako litajibiwa vizuri ukitafuta kujua decentralization ya elimu ilivyofanyika Tanzania miaka ya hivi karibuniHuko kweli Tanganyoka,Halmashauri ya kijiji inamiliki shule?
Utafiti mzuri wa asili ya hili jina ukifanyika karibu na ziwa Tanganyika, yamkini majibu yaweza patikana. Kuna baadhi ya wenyeji wa maeneo yaliyoko karibu na ziwa hili wanadai Tanga, na Nyika ni majina ya samaki. Aidha ukienda upande wa Congo, ziwa hili huitwa Tanganika. Na tunaposoma maandishi ya akina Henry Stanley waliotembelea maeneo ya hili ziwa kabla ya ukoloni (miaka ya 1800), wanatumia neno Tanganika. Maandishi yao ndio yalitumiwa na wakoloni kuibatiza nchi yetu jina la Tanganyika.Kibantu
TANGA=First/mwanzo
NYIKA= nchi/pori nk
TANGANYIKA=FIRSTCOUNTRY (NCHI YA MWANZO)
Ukiwa unaenda huko, unapanda Bus pale Ngegezi unapita Matombo mpaka Kunduchi unavuka bahari unatua Makunduchi unaelekea Mchamba wima safari inaendelea .....!