Rais Magufuli alia na ufisadi Jeshi la Polisi na Rushwa ofisi ya DPP

barafu

JF-Expert Member
Apr 28, 2013
6,726
32,818
image.jpeg
image.jpeg


JPM anasema: Hata kwenye kadhia ya Madawa ya Kulevya, wapo Polisi wanaohusishwa
 
Nimeiskia hii habari muda huu kupitia Channel 10 ila najiuliza ni kwanini Magu anashindwa kabisa kugusua sakata la Lugumi!

Alafu hivi Taasisi ya serikali inaruhusiwa kutumia hati ya ardhi inayomiliki kuchukua mkopo benki?Au mimi sijaelewa hapa?
 
Nimeiskia hii habari muda huu kupitia Channel 10 ila najiuliza ni kwanini Magu anashindwa kabisa kugusua sakata la Lugumi!

Alafu hivi Taasisi ya serikali inaruhusiwa kutumia hati ya ardhi inayomiliki kuchukua mkopo benki?Au mimi sijaelewa hapa?

Mkuu tulia tu. Utasikia muda si mrefu.
Hakuna ajuaye siku wala saa. Ila note tarehe ya leo
 
Issue ya Oysterbay imekaa kihuni sana ...alafu Polisi waache kuyumbishwa na wanasiasa ....waache uoga ...wanapelekeshwa mno ....wameuza lile eneo bila kupenda ....mbona hao wanasiasa hawagusi JWTZ?
Polisi ni tawi la chama ndio maana wameshindwa kumudu utendaji halisi wa kipolisi maana wanatumikia wana siasa badala ya taaluma yao.
 
Nimeiskia hii habari muda huu kupitia Channel 10 ila najiuliza ni kwanini Magu anashindwa kabisa kugusua sakata la Lugumi!

Alafu hivi Taasisi ya serikali inaruhusiwa kutumia hati ya ardhi inayomiliki kuchukua mkopo benki?Au mimi sijaelewa hapa?

Ukisoma hiyo press release utagundua kuwa kagusia hiyo Lugumi, aliposema "..mikataba ya mashaka inayotiwa saini kati ya jeshi la polisi na wawekezaji.."
 
Ukisoma hiyo press release utagundua kuwa kagusia hiyo Lugumi, aliposema "..mikataba ya mashaka inayotiwa saini kati ya jeshi la polisi na wawekezaji.."
Anashindwa nini kuzungumzia mkataba huu tata kwa kuutaja moja kwa moja?Kwanini azungukezunguke?Mbona wengine anawaadhiri kwa kuwasimasha kazi hadharani tena kwa kuwataja majina?
 
Issue ya Oysterbay imekaa kihuni sana ...alafu Polisi waache kuyumbishwa na wanasiasa ....waache uoga ...wanapelekeshwa mno ....wameuza lile eneo bila kupenda ....mbona hao wanasiasa hawagusi JWTZ?

..duh!!

..wanasiasa wa Tz kweli hawana aibu.

..aliyeanza kuuza maeneo oysterbay kwa bei ya kutupa si ni huyuhuyu Dr.Magufuli?

..kama Magufuli anajua kwamba viwanja vya oysterbay ni "prime" kwanini aliuza maelfu ya viwanja kwa bei ya kifisadi?

..halafu anapata wahi moral authority ya kuwalaumu polisi kwa mambo ambayo yeye mwenyewe ameyafanya?
 
Nimeiskia hii habari muda huu kupitia Channel 10 ila najiuliza ni kwanini Magu anashindwa kabisa kugusua sakata la Lugumi!

Alafu hivi Taasisi ya serikali inaruhusiwa kutumia hati ya ardhi inayomiliki kuchukua mkopo benki?Au mimi sijaelewa hapa?
Jeshi ni tofauti na taasisi zingine za mkonge......jeshi humuamini sana boss wao......amabaye ni mkubwa wao......IJP kuliko hata Rais....
 
Sasa hapo kwenye press release mbona sijaona mahali Mhe. Rais alipolia na ufisadi jeshi la Polisi kama kichwa cha habari yako kinavyosema? Jiepushe kutumia hisia zako na kuzifanya zionekane ndiyo hisia za wengine!
 
Hivi Ni lini Maghufuli atampa rasmi ukurugenzi G. Msigwa huyu jamaa yupo makini siyo Kama Salva.

Inawezekana yupo makini lakini ajitahidi taarifa zake zisiwe na makosa ya kiuandishi au kichapishaji, pamoja na kuhakikisha majina ya wanaotajwa katika taarifa hizo yako sahihi. Nishaona taarifa kama tatu zina makosa "madogo madogo" kama hayo. Hata hii taarifa ya leo kuna mahali inasema "maslai" badala ya " maslahi".
 
Kama unajua anahusika na yumo humu jf hebu m_tag moja kwa moja usizunguke ili uuone moto wake!!.
..duh!!

..wanasiasa wa Tz kweli hawana aibu.

..aliyeanza kuuza maeneo oysterbay kwa bei ya kutupa si ni huyuhuyu Dr.Magufuli?

..kama Magufuli anajua kwamba viwanja vya oysterbay ni "prime" kwanini aliuza maelfu ya viwanja kwa bei ya kifisadi?

..halafu anapata wahi moral authority ya kuwalaumu polisi kwa mambo ambayo yeye mwenyewe ameyafanya?
 
Back
Top Bottom