KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Mimi najiuliza kama kweli Upinzani ukishinda je CCM watakuwa tayari kuachia madaraka??Au ndo kutumbukiza nchi katika vurugu je Upinzani unaweza kuongoza nchi??Je Kwa nini unadhani Jakaya Kikwete hatakiwi kupewa kipindi kingine??Je Dr.Slaa unadhani anaweza kumshinda JK?Je unadhani kura zitakazopigwa zitakuwa salama??wakati Kamanda wa kikosi cha operation Kamanda Tossi ametamka wazi kila yeyote yule akimaliza kupiga kura siku hiyo atawanyike eneo lakupigia kura!!Je hao watakao baki watamdu kuthibiti hayo maboksi ya kura zetu je hawahongeki au takukuru watawekwa kudhibiti hali??Mimi nawewe hatujui ila unaweza kuweka mawazo yako hapa.