Ikitokea katika familia yenu mkabahatika kuoza na sendoff ikafanyika lakini ijumaa ambapo kesho yake Jumamosi ndiyo harusi ukaambiwa mama wa Bwana harusi anaumwa yupo katika koma(ICU) Je kama wanafamilia yawapasa mfanyeje ukizingatia upande wa bibi harusi wao wameisha fanya sendoff!!Kilichokuwa kikisubiriwa ni Harusi!!