KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Ikitokea katika familia yenu mkabahatika kuoza na sendoff ikafanyika lakini ijumaa ambapo kesho yake Jumamosi ndiyo harusi ukaambiwa mama wa Bwana harusi anaumwa yupo katika koma(ICU) Je kama wanafamilia yawapasa mfanyeje ukizingatia upande wa bibi harusi wao wameisha fanya sendoff!!Kilichokuwa kikisubiriwa ni Harusi!!
Nikisa cha kweli aliyesababisha ni mamake Brandina Nyoni na Sasa amefariki sijui kama itafungwa hiyo ndoa na kwaresima hii hiyo mpaka April.....!!!!!
Nikisa cha kweli aliyesababisha ni mamake Brandina Nyoni na Sasa amefariki sijui kama itafungwa hiyo ndoa na kwaresima hii hiyo mpaka April.....!!!!!