naninibaraka
JF-Expert Member
- Oct 13, 2011
- 910
- 668
Nina mashaka sana endapo JK atatufikisha 2015,changamoto za serikali na chama zinazomkabili na swala la wananchi kukosa imani naye baadhi ya mambo ambayo ni changamoto kubwa kwake,serikali kushindwa kuwalipa wafanyakazi wake mishahara,migomo,miradi ya serikali kama barabara na huduma za jamii kuzorota,je tutafika?
Je ni kweli kuwa TRA hawakusanyi mapato? Au serikali yetu imekuwa ya kufanya shopping zaidi?
Nawasilisha
Je ni kweli kuwa TRA hawakusanyi mapato? Au serikali yetu imekuwa ya kufanya shopping zaidi?
Nawasilisha