Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
KAITABA, ni uwanja wa mpira upo mkoani Kagera, mama yangu mzazi alikuwa bosi enzi hizo, akiwa anakagua gwaride uwanjani hapo akashikwa na uchungu,
Alipopelekwa chumba cha faragha uwanjani hapo nikazaliwa mimi,
Nice Indeed