Gudboy
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 867
- 77
Gudboy: hili ni jina la ni wimbo flan wa jamaa Niki wa 2 naupenda sana kwa sababu vitu vingi alivyoimba vinareflect maisha yangu. Mfano pale aliposema gudboy akiwa na kitu moyoni hafichi anasema, hakuna ubaya kama kufanya mabaya mbele ya watoto wanaotuiga leo ili wakafanye mema kesho, kubalehe ni mtihani na wengi wamefail, nani kasema shujaa azaliwi guest, fanya kazi ujenge urafiki na hizi hela, sina chuki za CCM kwenye ubongo wa Lipumba, utajiri wa kwanza ni kuwa na marafiki, simtongozi mwanafunzi kumharibia maisha, usimwache anayekupenda mapenzi yakamfunga jela, wingi wa mashori sio kipimo cha urijali kama mwanaume wa kweli nyumbani wapate ugali, gudboy huamka mapema.
hii ni kati ya mistari katika wimbo huu ambao nauzimia ile mbaya, maana nami ni gudboy mazee
hii ni kati ya mistari katika wimbo huu ambao nauzimia ile mbaya, maana nami ni gudboy mazee