Je Ingekuwaje.........What If...........??

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.

Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??

Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.

Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!
 
jamani MJO, mi nina text msgs tangu ya kwanza na emails zote (sijui ndo kunogewa yaani ni kama treasure, maana siwezi kuzifuta)...na kukitokea mtafaruku nazirejelea zote. Sasa hapo ndo maumivu zaidi....<br />
<br />
But at good times....ooh my, you just go through them and smile all alone!
 
Wapendwa
Natumaini wote mlikuwa na weekend njema.

Hivi ulishawahijiuliza ingekuwaje kama kungekuwa na uwezekano wa kurekodi zile confessions za mapenzi, viapo vya nakupenda sana, sijiwezi juu yako n.k tunavyopeana mwanzoni mwa mahusiano? Je unadhani kama mambo yanakwenda mrama, kisha uka'iplay' that tape back...... kungekuwa na kuumizana, kuachana??

Nawaza tu kwa sauti maana mapenzi nilonayo kwa mwandani, na mahashuo nnayomuashua nahofia yasijenisuta siku moja nkijikuta namfanyia visa (MUNGU pitishia mbali) LOL.

Nakumbuka nliambiwaga .............Wallah we mwanamke nakupenda, ukijaniacha nakuua.......afu nikaachwa mie!!!!

LOL....hhhaaaa hhahhahahha!...weye utanifayisha mwezi mtukufu niwe nailia futari JF! khaaa
eti 'afu nikaachwa mie!!!' LOHHH, ama kweli umenichekesha mpaka najishtukia!....

Halafu Mwj1, huyo anayesema hivi ndio yule aliyekuwa anagombana na Video ya kiapo cha harusi au?
Kuna topik fulani nilikusoma haeshi kukusumbua mrudiane, labda ndio maana yake....'mpaka akuue!' Mnh?..
Mw'mungu apishilie mbali!
 
enheee Mbu na mimi nimekaa nikafikiria hapo aliposema 'atamuua'...lol!

MJO, sungusungu wewe, usalama barabarani wewe, dereva wa kebu wewe...heheee unalo!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Hakuna kitu kigumu kama kutoa ushauri wa mapenzi kwani kila mtu na kila "pair of the couples" ni tafauti na nyengine. Lakini kitu kinachoweza kupunguza maumivu ni kujipenda zaidi mwenyewe. Ikiwa haiwezekani basi tenga angalau 25% za mapenzi kwa ajili yako mwenyewe. Ukifanya hivyo, hata uambiwe "nakupenda, ninakufa kwa ajili yako, sijiwezi....blah blah blah...moyoni unasema "ninajipenda zaidi, nitakufa kulinda mapenzi yangu kwangu, sijiwezi kwa ninavyoipenda nafsi yangu. Yakidumu poa, siku akigeuka, atambue kuwa wewe ulishamtangulia hatua chache kwenye uamuzi huo.
Maisha yanaendelea. Hakuna kitu cha kipuuzi kama kulilia maji yaliyokwishamwagika.
 



Young man you too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie

Young man you too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie.

Him have one up here
one down there

One in Hannover
one down a vere.
One she's a lawyer
one she's a doctor

One wen dem work with a little contractor.
One down a east
one down a west

Him have one up north and two down south


One a sell cigarettes on the roundabout - lord.

Young man you too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie
. . .

Him have one go a school
one gawn fool fool

Him have one everytime me say she thinks a she rules

One she a nurse she say she come first

The other night them going out dem pick her new purse.
One a sell star
one work in a bar

A she can smile when the two a dem a spar

One gettie gettie
one frettie frettie

And him no drink no other milk but Betty.

You too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie
. . .
You too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie
. . .
Young man you too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie
. . .

Him have one up here
one down there
. . .
One a go a school and one fool fool.

You too girlie girlie

you jus a flash it round the worldie
. . .

A big fat one who a go go dancer

A little slim one who's a radio announcer.
One highty highty
one flighty flighty

And before him grow old he want one a North Pole.

One in a London
one in a Japan

one in a Scotland
one in a Finland

One in a Taiwan
one in a Iran

one in a Greenland
one in a Iceland.
One in Canada
one Uganda
one America
one Cuba

One Antigua
one Grenada
one a China
and one India.
One Bolivia
one Torguga
one a Ghana
one Ethiopia

One Russia
one Syberia
one a Syria
one Tanzania.
One Australia
one Aruba
one Asia
one Australia.

Young man you too girlie girlie

You jus a flash it round the worldie.
 
Last edited by a moderator:
Mimi huwa nasema kuwa its funny kwamba
mapenzi yanapoanza kwa wengi wanakuwa wazungu zaidi....
Mwendo ni honey,sweetheart...baby.......my love ......n.k.....

Sasa wakati wa kuachana tunaachana kiswahili.......utasikia...

We mwanamke gani,ooh mbwa kabisa,nguruwe na matusi ya nguoni
ambayo yote kwa kiswahili tena fasaha.....

Sasa huwa nacheka...najiuliza...kwa nini kutongozana kiswahili hamjui,
kuachana ni we mama nanihi kwenda kwenu,nisikuona hapa .mbwa kabisa...

Tuachane kwa kiingereza pia.....lol
 
Mimi huwa nasema kuwa its funny kwamba
mapenzi yanapoanza kwa wengi wanakuwa wazungu zaidi....
Mwendo ni honey,sweetheart...baby.......my love ......n.k.....

Sasa wakati wa kuachana tunaachana kiswahili.......utasikia...

We mwanamke gani,ooh mbwa kabisa,nguruwe na matusi ya nguoni
ambayo yote kwa kiswahili tena fasaha.....

Sasa huwa nacheka...najiuliza...kwa nini kutongozana kiswahili hamjui,
kuachana ni we mama nanihi kwenda kwenu,nisikuona hapa .mbwa kabisa...

Tuachane kwa kiingereza pia.....lol

BOSS kwa maoni yangu wenye kutoa maneno ya kashfa kiasi hicho hawana ustaarabu hata kidogo. Pamoja na kuachana si kitu chema hasa pale bado kunamapenzi na kutaka penzi liendelee lakini hakuna sababu ya kutoa maneno ya kudhalilishana na matusi ya nguoni, lakini waliokosa ustaarabu ndio zao hizo wanatoa maneno yaliyojaa kashfa chungu nzima utadhani hakuwahi kabisa kumpenda binti yule au mwanaume yule. Pamoja na hasira zinazokuwepo wakati wapenzi wanapoachana lakini unaweza kuamua kuwa mstaarabu hivyo kutotoa matusi ya nguoni, kejeli au kashfa zozote zile ila kumwambia nakutakia kila la heri katika maisha yako :)
 
Duhh, kaka BaK nyimbo ya wakati wa ujana wangu hiyo...lohhh...ila ujumbe wake na sredi hii ya Mwj1 nimejikuta
nashangaa shangaa kuliko ku decipher the msg behind...lol...!

 
MamaMia...

Unajaribu kusema tusipende mia kwa mia?

Nikimpenda kwa moyo wote ntakosa kujipenda mwenywe?

Nikikaa mguu ndani mguu nje siku akinimwaga nina garantii kuwa sitaumia?

Kwa hiyo tusiamini ahadi tunazopewa mapenzi yanapopamba moto?
 
Mimi huwa nasema kuwa its funny kwamba
mapenzi yanapoanza kwa wengi wanakuwa wazungu zaidi....
Mwendo ni honey,sweetheart...baby.......my love ......n.k.....

Sasa wakati wa kuachana tunaachana kiswahili.......utasikia...

We mwanamke gani,ooh mbwa kabisa,nguruwe na matusi ya nguoni
ambayo yote kwa kiswahili tena fasaha.....

Sasa huwa nacheka...najiuliza...kwa nini kutongozana kiswahili hamjui,
kuachana ni we mama nanihi kwenda kwenu,nisikuona hapa .mbwa kabisa...

Tuachane kwa kiingereza pia.....lol

The Boss huishi vituko wewe.......teh teh teh ........mi nahisi wakati wakuanza mapenzi huwa kunakuwa na "kufake" kwingi.
............tunafake mpaka lugha..............(chui mvaa ngozi ya kondoo)
Wakati wa kuachana tunakuwa kwenye uhalisia wetu..........na lugha tunarudi kwenye asili yetu ......... teh teh teh .............lol
 
Duhh, kaka BaK nyimbo ya wakati wa ujana wangu hiyo...lohhh...ila ujumbe wake na sredi hii ya Mwj1 nimejikuta
nashangaa shangaa kuliko ku decipher the msg behind...lol...!


Huu wimbo ni katika kuburudisha tu Mkuu, nani kakwambia miaka 30 :) ni uzee, Mkubwa? Bado unadai sana tu....cha muhimu ni kuomba Mwenyezi Mungu atujaalie maisha marefu na afya njema....
 
Hakuna kitu kigumu kama kutoa ushauri wa mapenzi kwani kila mtu na kila &quot;pair of the couples&quot; ni tafauti na nyengine. Lakini kitu kinachoweza kupunguza maumivu ni kujipenda zaidi mwenyewe. Ikiwa haiwezekani basi tenga angalau 25% za mapenzi kwa ajili yako mwenyewe. Ukifanya hivyo, hata uambiwe &quot;nakupenda, ninakufa kwa ajili yako, sijiwezi....blah blah blah...moyoni unasema &quot;ninajipenda zaidi, nitakufa kulinda mapenzi yangu kwangu, sijiwezi kwa ninavyoipenda nafsi yangu. Yakidumu poa, siku akigeuka, atambue kuwa wewe ulishamtangulia hatua chache kwenye uamuzi huo.<br />
Maisha yanaendelea. Hakuna kitu cha kipuuzi kama kulilia maji yaliyokwishamwagika.
<br />
<br />
 
Hakuna kitu kigumu kama kutoa ushauri wa mapenzi kwani kila mtu na kila &quot;pair of the couples&quot; ni tafauti na nyengine. Lakini kitu kinachoweza kupunguza maumivu ni kujipenda zaidi mwenyewe. Ikiwa haiwezekani basi tenga angalau 25% za mapenzi kwa ajili yako mwenyewe. Ukifanya hivyo, hata uambiwe &quot;nakupenda, ninakufa kwa ajili yako, sijiwezi....blah blah blah...moyoni unasema &quot;ninajipenda zaidi, nitakufa kulinda mapenzi yangu kwangu, sijiwezi kwa ninavyoipenda nafsi yangu. Yakidumu poa, siku akigeuka, atambue kuwa wewe ulishamtangulia hatua chache kwenye uamuzi huo.<br />
Maisha yanaendelea. Hakuna kitu cha kipuuzi kama kulilia maji yaliyokwishamwagika.
<br />
<br />
Nimeipenda sana hii!
 
jamani MJO, mi nina text msgs tangu ya kwanza na emails zote (sijui ndo kunogewa yaani ni kama treasure, maana siwezi kuzifuta)...na kukitokea mtafaruku nazirejelea zote. Sasa hapo ndo maumivu zaidi....&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
But at good times....ooh my, you just go through them and smile all alone!
hahahhhh we bht acha kabisa yaani mie nkikumbuka nabaki najikagua kwenye kioo pengine nimebadilika rangi au sura ah.... Bahati mbaya huwa nahifadhi moyoni yaani nkiyakumbuka loh!!

But nataka niishi to my promises now kuwa nkisema nakupenda, nitakupenda daima basi iwe kweli. Sitaki dhamira nnisute baadae!LOL
 
hahahahahah The Boss umenichekesha sana..eti wewe mama naniii,nguruwe we hahahahhaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
<font color="#b22222"><font size="3"><span style="font-family: book antiqua">LOL....hhhaaaa hhahhahahha!...weye utanifayisha mwezi mtukufu niwe nailia futari JF! khaaa<br />
eti '<i>afu nikaachwa mie!!!'</i> LOHHH, ama kweli umenichekesha mpaka najishtukia!....<br />
<br />
Halafu Mwj1, huyo anayesema hivi ndio yule aliyekuwa anagombana na Video ya kiapo cha harusi au?<br />
Kuna topik fulani nilikusoma haeshi kukusumbua mrudiane, labda ndio maana yake....'<i>mpaka akuue</i>!' Mnh?..<br />
Mw'mungu apishilie mbali!</span></font></font>
Mbu we acha tu! Na kitisho hicho kilitolewa kwa kilio! Nway labda nlibadilika nkayapunguza mwe!
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Don’t make promises when you're happy,
Don’t make decisions when you're Angry.
Don't decide when you're sad.

...Ukishayatafakari hayo hapo juu, utagundua umuhimu wa kuwa mstahmilivu, msikivu,
mvumilivu, na mwenye kuamua baada ya kufikiria. It's all about how to discipline ourselves.

 
Huu wimbo ni katika kuburudisha tu Mkuu, nani kakwambia miaka 30 :) ni uzee, Mkubwa? Bado unadai sana tu....cha muhimu ni kuomba Mwenyezi Mungu atujaalie maisha marefu na afya njema....

Huu wimbo umenikumbusha ..mbaaaali sana! tena sana...Thanks! Mungu ni mkubwa tumetoka mbali..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
don't make promises when you're happy,
don't make decisions when you're angry.
don't decide when you're sad.

...ukishayatafakari hayo hapo juu, utagundua umuhimu wa kuwa mstahmilivu, msikivu,
mvumilivu, na mwenye kuamua baada ya kufikiria. It's all about how to discipline ourselves.


mkuu mbu hayo mengine yote ni sawa
lakini hilo no 1 ni ngumu mno
kwenye mapenzi tukishanogewa ndo ahadi zinatoka zenyewe mdomoni
yaani utasema mdomo unajitegemea hivi lol
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Back
Top Bottom