Je ingekuaje kama watu wangekuwa wanaonyesha CV zako kabla ya kuoana?

Hakuna anayependa kuwa na CV mbaya hata siku moja ni situation mbali mbali zinazopelekea kuchafua CV hizo,
Yaliyopita hayanihusu,Naanzia nilipopakuta,
Sitaki kuidhulumu nafsi yangu kwa hukumu ya mambo yaliyopita nikiwa sipo,
Hata yesu enzi zake aliwaambia anayejijua hana dhambi na ni msafi na awe wa kwanza kumpiga na mawe yule mama mzinzi,wote waliinamisha vichwa vyao na kuondoka zao.
So binafsi sion umuhimu wa kujua CV ya mtu,cha msingi yuko single,tumependana,tunaenda kupima,analipa mahari,tunasheki well bifoo uzi then ndoa na burudani zinaendelea..
 
It really shouldn't matter, the past is the past. You can't change it

ina matter sana kwangu. Hivi wale wanaotafuta wake wa kuoa na tabia njema kuwa kigezo cha kwanza huwa wanaangalia tabia ipi kama sio past?
 
ina matter sana kwangu. Hivi wale wanaotafuta wake wa kuoa na tabia njema kuwa kigezo cha kwanza huwa wanaangalia tabia ipi kama sio past?
Nope...I dont think so kama wote huwa wanaangalia past za watu vinginevyo tungekuwa na ndoa chache sana
 
Hivi unapochunguza CV ya mwenzako what about yours is it clean???
inawezekana ya kwako pia isiwe clean lakini mabadiliko yanaanza na wewe mwenyewe. Inawezekana ulikuwa mchafu na umeamua kubadilika bila shinikizo la mtu. Ni ngumu kumbadilisha mtu hasa anapokuwa hana utayari wa kubadilika.
 
inawezekana ya kwako pia isiwe clean lakini mabadiliko yanaanza na wewe mwenyewe. Inawezekana ulikuwa mchafu na umeamua kubadilika bila shinikizo la mtu. Ni ngumu kumbadilisha mtu hasa anapokuwa hana utayari wa kubadilika.
I know that I would think it unfair if anybody judged me about my past.
 
Hivi kuna duka la kununua mke ambako unapewa katalogi kuangalia ubora???
Naongelea present nikijua watu ambao wako serious hawawezi kukutana na mtu ndani ya miezi sita wakatangaza ndoa, huo ni uzembe!

Nikisema present namaana ya experience yako kwake kwa maana mmepima wote mko powa mna date kwa muda wa kutosha ndani ya dating ndo unajua kama huyu ni husb au wife material na wala si past yake ukiona analeta gozi gozi piga chini. Sasa ukutane na mtu ndani ya three months unaingia kweny commitment za ndoa kisa ana CV nzuri; mbona utajuuuta.

Nna ndugu yangu aliolewa na mseminary, well mume katulia lakini ana ndoa ambayo si happy, they are different in all aspects; yeye alizuzuka na utulivu wa kijana na elimu kuuubwa.
:juggle:

ina matter sana kwangu. Hivi wale wanaotafuta wake wa kuoa na tabia njema kuwa kigezo cha kwanza huwa wanaangalia tabia ipi kama sio past?
 
na wote wangekuwa hawaangalii past makahaba na micharuko yote ya mjini ingekuwa ishaolewa.
Kuondoa makahaba ambao tunajua fika biashara yao hao micharuko unaowasema wewe mimi nawajua zaidi ya kumi na wameolewa wote na watu wakabaki kushangaa pamoja na kuwa past zao watu walizizungumzia sana
 
Mie ningeonyesha tu, maana kama kuna kitu nimefeli, ni kubadilika.......... i am still the same dude!!
still loving life, still loving sex, still outgoing, still explorative, still crazy
 
Kwangu past inamata as wel coz it helps in getting a strong or weak foundations in love relation......in a way yaweza kukueleza why the present is in the state it is hata ku predict the future but the most important ni kwamba huoi au kuolewa na CV but the owner........

Beauty of the wrapper does not necessarily reflects the value of the gift in it..........

Byeeeee
 
CV zingekuwa zinasema kila kitu basi employers wasingeweka probation na freshers wasingepata kazi. :A S-coffee:
 
Kuna watu wanaamini kwamba mtu akikubali kuolewa/kuoa mbasi ndo mwisho wa kila kitu. Watu wa aina hiyo wanathubutu kufanya lolote ikiwemo kuazima magari, nguo, hata uhusika tofauti kabisa katika mwanzo wa mapenzi. Baada ya ndoa ndo wanavaa uhalisia wao ambao huwa ni surprises kwa wapendwa wao na matokeo yake ndoa zenye migogoro hadi kuvunjika. kwa hiyo swala la kufoji lipo sana kwenye mapenzi na matokeo yake ni ndo zenye migogoro. Jiweke wewe kama wewe ili unayetaka kuishi naye akujue na kukuzoea.
 
Back
Top Bottom