Kama wapenzi wangekuwa wanaoyeshana CV kabla ya kuona ingekuwaje?
1. Je wangefoji CV?
2. Je wangefoji uhalisia wa maisha yao?
3. Je ndoa zingekuwa zinadumu au zungekuwa zinavunjika kwa kasi zaidi ya sasa?
naomba maoni yenu tafadhali
....Wabongo si unawajua? Mpaka Mawaziri wanafoji vyeti vyao eti wana Phd!!! Kumbe wizi mtupu!!!!! Hivyo kama kwenye wachumba ndio usiseme watu wangejifagilia ile mbaya na maujuzi yao kwenye sita kwa sita, mitoko ile mikali mikali na kuambatanisha statements of bank accounts ambazo zimenona....Baadhi ya ndoa zingedumu maana kuna mabinti waliwaingiza mkenge baadhi ya wanaume na kujifanya wao hawajaguswa (bikra) njemba zikaingia kichwa kichwa na kutangaza harusi haraka sana. Baada ya harusi za kukata na shoka na honeymoon za kihollywoos wakaja kushtuka njemba nyingine zilishachukua bikra siku nyingi sana. Wakaumia roho lakini hawakuona umuhimu tena wa kuvunja ndoa ila siku zikiutwika kupita kiasi huwa zinakumbushia na sauti ile ya kilevi kwamba mama chanja alimtapeli.
Zisingedumu hata kidogo maana kwanza kila mtu angekuwa anadanganya sasa hiyo ndoa ingedumu vipi tena??
Sasa BAK huyo anaetangaza ndoa haraka kisa bikra nae sini hajatulia. Au watu wakisikia bikra wanadhani ndo mwisho wa reli? Acha waingizwe mkenge tu. . . na hivi mChina anajua mahitaji yao, watakoma.
Mie hua nashangaa saaana wale ambao hawapendi past za wenzao... Hata kama mbaya vipi! Kikubwa mtu ajifunze na alopitia whether good or bad.... What makes the person you like/love is the past... Hio ndio inayokua imemjenga kua bad or Good, hasa kwa anae jifunza tokana na experiences. Hivo CV kuitoa kabla ya ndoa ingekua kama CV za sasa hivi tu, (CHAKACHULIWA).
Mtu ukiona anafuatilia sana past jua hajapenda. Wengi wanaangalia present na future na kujiuliza maswali kama katika hii miaka miwili ya uhusiano wetu aminichiti? kama jibu NO; why not marry her/him.
Huko nyuma kama alikuwa kiruka njia yawezekana alikuwa hajapata wa kumfikisha. What matters ni present and future bana. Kwa kuwa CV inaongelea past experience na haisemi chochote kuhusu present wala future sioni kama ni kigezo cha mtu kuolewa/kuoa .:juggle:
binafsi sipendi na siwezi kuingia kwenye mahusiano ambae najua past yake ni chafu. Unaweza kuanzisha mahusiano na mtu ambaye unafahamu ni mzinzi na ana tabia ya kuwafanya nyuma wanawake?Mie hua nashangaa saaana wale ambao hawapendi past za wenzao... Hata kama mbaya vipi!).
sasa utajuaje kama ameshabadilika...!? si mpaka umkubali awe mpenzi wako sasa!?binafsi sipendi na siwezi kuingia kwenye mahusiano ambae najua past yake ni chafu. Unaweza kuanzisha mahusiano na mtu ambaye unafahamu ni mzinzi na ana tabia ya kuwafanya nyuma wanawake?
vipi kama na kwako anapita tu bado hajafika? Muhimu kujua past hata kama alikuwa kicheche ni vizuri kujua ili ujue utamtuliza vipi.
It really shouldn't matter, the past is the past. You can't change itbinafsi sipendi na siwezi kuingia kwenye mahusiano ambae najua past yake ni chafu. Unaweza kuanzisha mahusiano na mtu ambaye unafahamu ni mzinzi na ana tabia ya kuwafanya nyuma wanawake?