Mimi binafsi naona itawezekana baada ya Katiba Mpya kurudisha Serikali ya Tanganyika. Naomba wananchi wenzangu wa Zanzibar wakati wa kuandika Katiba mpya ukifika idai serikali ya Tanganyika mtaendelea kuwa wagombea wenza mpaka lini?
hiyo ugombea mwenza ni nyongeza tu kwao.wana raisi na makamu wawili sasa uraisi wa muungano hata wakikosa poa tu Umesema kweli kwamba ni nyongeza lakini lazima uwepo wa serikali ya Tanganyika utambuliwe kwenye katiba.
Umesema kweli kwamba ni nyongeza lakini lazima uwepo wa serikali ya Tanganyika utambuliwe kwenye katiba.
UUmeseama kweli kwa mba ni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.