Sijakusoma Nyumbu-
ya kweli hayo?? basi mbona hatari kubwahuyo ni ticha aliyeungaunga vyeti, ka resit mara kibao form four, ana s moja form six, sasa kapata qualification ya kulala na mzee wa mipasho, basi anawatumbuiza wadanganyika wanaopenda mipasho na kurushana roho
Inaelekea wewe ndiwe wa kwenye picha nini? maana ulishaanza mipasho. Tunaelewa mipasho ni sehemu ya utamaduni wa nyumbani kwenu.Sasa hayo majungu ya nini? Hata na nyinyi mukiwa na wake zenu mukija kugombea ubunge au uraisi basi mutawaambia wawasaidie.
Na hivyo vyeti vyake vimewahusu nini? Wewe vyako una hakika navyo? Inawezekana ulinunua mtihani ukapata A za dezo!