othorong'ong'o
Senior Member
- Jan 20, 2011
- 103
- 19
Naangalia Tv channel ten kipindi cha Je tutafika,mjadala unahusu migogoro ndani ya ccm,sasa Dr. Kitine ktk mjadala ametaja kuwa kuna katibu mkuu ambaye kila mtu anamjua ni Mwizi lakini bado kapewa kitengo na rais,je ni nani huyu