jchofachogenda
JF-Expert Member
- Jan 8, 2012
- 537
- 123
Mkuu tatizo sio kuoga ufukweni au kwenye swimming pool, hoja ni kuwa mwanamke utakubali vipi kupiga picha ya namna hii?walikua swimmimng pool huyu mtu aliyeweka hii picha hapa ndio anamdhalilisha sasa na wala
sio yeye aliyetaka kifanyike kitu kama hiki kama mtu kuoga ni kujidhalilisha basi tusiwe tunaoga hata ufukweni
Mi naona mvulana na msichana wote akili hawana, hivi unadhani huyo mwanaume nae hajadhalilika hapo.Unapokuwa na msichana wako lazima umtreat decent na sio kuleta bange za Malawi
Hii ni kudhalilishana sana tuu ndugu zangu angalia huyu binti yuko na chupi nje jamaa yeye yuko na Jens na ti-shirt alafu kala raba chini. udhalilishaji huu
Kumbe ukipost picha humu Jamii Forum unalipwa!!! basi kama ndio hivyo mimi nadai hela nyingi tu.Naona kama vile binti hakujua kama kafunuliwa. Na huyu aliyewapiga picha ni mtu wanayemfahamu - yet, kaja kuwauza humu