Je huu ni uungwana?

jchofachogenda

JF-Expert Member
Jan 8, 2012
537
123
Dada zetu msikubali kuburuzwa na wenza wenu kiasi hiki,mnajidhalilisha. 002.JPG
 
Mi naona mvulana na msichana wote akili hawana, hivi unadhani huyo mwanaume nae hajadhalilika hapo.Unapokuwa na msichana wako lazima umtreat decent na sio kuleta bange za Malawi
 
Msimlaumu jamaa........hilo gauni lilikuwa kwapanai kwa binti.....yeye ndio analishusha.....mpiga picha alikuwa na haraka zake nae
 
walikua swimmimng pool huyu mtu aliyeweka hii picha hapa ndio anamdhalilisha sasa na wala
sio yeye aliyetaka kifanyike kitu kama hiki kama mtu kuoga ni kujidhalilisha basi tusiwe tunaoga hata ufukweni
 
walikua swimmimng pool huyu mtu aliyeweka hii picha hapa ndio anamdhalilisha sasa na wala
sio yeye aliyetaka kifanyike kitu kama hiki kama mtu kuoga ni kujidhalilisha basi tusiwe tunaoga hata ufukweni
Mkuu tatizo sio kuoga ufukweni au kwenye swimming pool, hoja ni kuwa mwanamke utakubali vipi kupiga picha ya namna hii?
 
Mi naona mvulana na msichana wote akili hawana, hivi unadhani huyo mwanaume nae hajadhalilika hapo.Unapokuwa na msichana wako lazima umtreat decent na sio kuleta bange za Malawi

sawa kabisa,sasa wanamuonyesha nani chupi.ushamba huo.
 
Hii ni kudhalilishana sana tuu ndugu zangu angalia huyu binti yuko na chupi nje jamaa yeye yuko na Jens na ti-shirt alafu kala raba chini. udhalilishaji huu


Huu si uungwana kabsaaa! Hivi huyu kijana mshamba asipo muowa huyu demu mbumbumbu, si atakuwa amemwaribia future yake. Mtu gani wa maana atataka kuwa na mke mwenye history chafu kama hiyo picha inavyojionesha. Au itawezekana JK akamteuwa mwanamke kama huyo kushika nafasi yoyote ya madaraka?
 
Uchi unakuwa uchi pale unapoutafsiri, waungwana mimi natafsir uchi kuanzia kwa beach, club na sehem km hizo. Huyu kaonewa tu, nyie wenye nyuchi mnakutana nazo kila cku had barabaran sembuse hawa swimming pool
 
Naona kama vile binti hakujua kama kafunuliwa. Na huyu aliyewapiga picha ni mtu wanayemfahamu - yet, kaja kuwauza humu
 
Back
Top Bottom