Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
- Thread starter
- #81
HHAHAHA Rose,kumbe mkali weye! nifundishe basi kiswahili fasaha,mmeo anakufanya nini?lugha chafu..kuliwa mzigo du
sasa km yeye ndo alikuwa anakula sa kuna aja gan niende nikmnawishe?
asi aende mwenyewe jaman..
lugha yako au nia yako ni kudhalilisha?
lile tendo linainvolve participation ya mke na mume sa kusema ..UNAMLA MZIGO ..as if ye alkaa tu km sahan si sahihi...
usiwe na dharau kiivo wewe wakat ukinyimwa unalia km mtoto wa paka