je huu ni ugonjwa au ?

EL MAGNIFICAL

JF-Expert Member
Jan 11, 2011
938
125
Habari zenu wana jf ?

Kama mu wazima wa afya basi jina la bwana lihimidiwe ?
Nakuja kwenu tuweze kubadilishana mawazo kuhusu tatizo linalonikabili ?

Ni kwamba mwenzenu kila ninapokutana faragha na patner wangu uume wangu huwa hautoi kabisa manii (yaani sipigi bao) japokuwa nasimamisha vizuri na nnapata raha zote.
Hata nikae mda gani kiunoni zaidi zaidi huwa naishia kuchoka tu .
Sasa basi naomba mnisaidie mawazo ?
(1) je huu ni ugonjwa ?
(2) kama ni ugonjwa unaitwaje kitaalamu ?
(3) nini husababisha tatizo hili ?
(4) je kuna madhala yoyote naweza kupata hapo baadae ?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wadau.
 
Habari zenu wana jf ?
Kama mu wazima wa afya basi jina la bwana lihimidiwe ?
Nakuja kwenu tuweze kubadilishana mawazo kuhusu tatizo linalonikabili ?
Ni kwamba mwenzenu kila ninapokutana faragha na patner wangu uume wangu huwa hautoi kabisa manii (yaani sipigi bao) japokuwa nasimamisha vizuri na nnapata raha zote.
Hata nikae mda gani kiunoni zaidi zaidi huwa naishia kuchoka tu .
Sasa basi naomba mnisaidie mawazo ?
(1) je huu ni ugonjwa ?
(2) kama ni ugonjwa unaitwaje kitaalamu ?
(3) nini husababisha tatizo hili ?
(4) je kuna madhala yoyote naweza kupata hapo baadae ?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wadau.

pole sana mdau! hapo kutakuwa kuna tatizo ama la kimwili au kiakili. lakini kwa vile jogoo linawika basi hii inaweza isiwe issue kubwa sana ngoja tuwapishe watalam zaidi wakupe ushauri wao kuhusu kadhia hii
 
pole sana mdau! hapo kutakuwa kuna tatizo ama la kimwili au kiakili. lakini kwa vile jogoo linawika basi hii inaweza isiwe issue kubwa sana ngoja tuwapishe watalam zaidi wakupe ushauri wao kuhusu kadhia hii
asante jemedari hii kitu inanikosesha sana amani ?
 
mkuu.@EL MAGNIFICAL Pole sana kwa hayo yanayokukuta imi ninakuonea wewe wivu ukicheza mchezo na shemji yangu mke wako hupigi bao yaani hushindi goli? Ahh miye ninakaa siku 3 au 4 siku nikikutan na

shemeji yako mke wangu nikipiga analia sana huwa natoa nyingi Shahawa tuu mpaka anapiga makelele ,kwa sababu

ninakula njugu,
cheese, Karanga mbichi na vyakula vyete kuleta shahawa kwa wingi mwilini ningelikushauri uwe unapo fanya

mapenzi na shemeji yangu uwe akili zako na mawazo juu yake na juu ya tendo la mapenzi usijaribu kufikiri

maisha au matatizo yako ya maisha utakuwa unarusha stemu zako jaribu akili yako kuwa kwenye tendo la

sex na uwe unamuangalia shemeji yangu mwili wake wakati wa tendo la sex utatoa haraka shahawa.Na

kama itashindikana nenda Hospitali kamuone Daktari umueleze wala usimfiche atakuwa ushauri mzuri

zaidi.Jaribu huo ushauri wangu kisha uje hapa unipe feedback.


Pendelea kula Vitu hivi utatowa shahawa za kumwaga Mkuu

beyazPeynir.jpg


cheese



fistik.jpg

njugu za chumvi.
 
mkuu.@EL MAGNIFICAL Pole sana kwa hayo yanayokukuta imi ninakuonea wewe wivu ukicheza mchezo na shemji yangu mke wako hupigi bao yaani hushindi goli? Ahh miye ninakaa siku 3 au 4 siku nikikutan na

shemeji yako mke wangu nikipiga analia sana huwa natoa nyingi Shahawa tuu mpaka anapiga makelele ,kwa sababu

ninakula njugu,
cheese, Karanga mbichi na vyakula vyete kuleta shahawa kwa wingi mwilini ningelikushauri uwe unapo fanya

mapenzi na shemeji yangu uwe akili zako na mawazo juu yake na juu ya tendo la mapenzi usijaribu kufikiri

maisha au matatizo yako ya maisha utakuwa unarusha stemu zako jaribu akili yako kuwa kwenye tendo la

sex na uwe unamuangalia shemeji yangu mwili wake wakati wa tendo la sex utatoa haraka shahawa.Na

kama itashindikana nenda Hospitali kamuone Daktari umueleze wala usimfiche atakuwa ushauri mzuri

zaidi.Jaribu huo ushauri wangu kisha uje hapa unipe feedback.


Pendelea kula Vitu hivi utatowa shahawa za kumwaga Mkuu

beyazPeynir.jpg


cheese



fistik.jpg

njugu za chumvi.

Aksante mkuu nitafanya ivyo ushauri wako nauzingatia maana nilishauliwa na baadhi ya friends na wakanishauri nitumie sana karanga pia hata maandalizi ya sex si mbaya nikitizama porn movie ? Lakini mambo yalibakia kuwa vile vile ?
Nashukulu kwa ushauri wako.
 
Dah pole sana mkuu!!! Pamoja na kula karanga, cheese, asali na kwa ujumla wake protein foods kwa wingi ila pia weka mawazo yako pamoja!!! Sex ni saikolojia zaidi!!! Kuna ndoa nilisimamia tatizo lilikuwa kwa mke kwamba alikua hafikii kileleni kabisa. Ikamsumbua sana mke na mume yule. Nilipofikishiwa tatizo nikakaa na kila mmoja peke yake!! Nikagundua kuwa yule mama alikuwa na matatizo kisaikolojia!!! Alikuwa anampenda sana mume wake na kwa kuwa yeye hakuwa na kazi basi akawa ana hofu na maisha kuwa pengine mume wake hataweza kuwa na maisha mazuri ya kujenga, n.ka. Pale pale nikampa mawazo kuwa kama atafanikisha tendo la ndoa vizuri itamfurahisha mume wake na ataweza kutulia zaidi kiakili kwa mantiki hiyo atakuwa na mipango mizuri ya maisha.

Kwa hakika niliwataka watoke nje ya nyumbani tukafanikisha hotel somewhere kuanzia ijumaa hadi jumapili na niliwambia kila mmoja kwa wakati wake aje kunipa feedback!!!! Mke alifikia kilele idadi ambazo hakukumbuka!!!! Mume alisema aliishiwa nguvu kabisa maana kila mara mke yuko on kabisa!!!!
Fundisho ni kuwa ndoa zetu hizi huwa zina changamoto za hapa na pale!!! Kinachotakiwa jitahidi kusahau hizi changamoto wakati wa lile tendo. Nakuhakikishia kama tendo nyumbani haliko vizuri hata mambo yako mengine yanakuwa hovyo!!
 
Niliwahi kusoma tatizo kama hili katika site nyingine. Huyo jamaa alidai yeye anaweza kukesha kunako kwa masaa hadi mawili na kuendelea bila kuona ndani. Wanawake wengi aliowahi kuwa nao walikuwa wanamlalamikia kwa masaa marefu kiasi hicho maana shughuli za mwenzie huwa zinakauka na hivyo kuongeza kwa kiasi kikubwa uwezekano wa kupata michubuko. Ila alidai alipokuwa akishughulika mwenyewe basi hata dakika tano hamalizi, lakini jamaa hakupata ushauri wowote wa kumsaidia ili kuondokana na tatizo lile. Jaribu kufuata ushauri mbali mbali uliopewa hapa na na labda kurefusha fore play inaweza kukusaidia nawe ukaona ndani. Kama hakuna nafuu basi si vibaya ukiwaona wataalamu.
 
Back
Top Bottom