EL MAGNIFICAL
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 938
- 125
Habari zenu wana jf ?
Kama mu wazima wa afya basi jina la bwana lihimidiwe ?
Nakuja kwenu tuweze kubadilishana mawazo kuhusu tatizo linalonikabili ?
Ni kwamba mwenzenu kila ninapokutana faragha na patner wangu uume wangu huwa hautoi kabisa manii (yaani sipigi bao) japokuwa nasimamisha vizuri na nnapata raha zote.
Hata nikae mda gani kiunoni zaidi zaidi huwa naishia kuchoka tu .
Sasa basi naomba mnisaidie mawazo ?
(1) je huu ni ugonjwa ?
(2) kama ni ugonjwa unaitwaje kitaalamu ?
(3) nini husababisha tatizo hili ?
(4) je kuna madhala yoyote naweza kupata hapo baadae ?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wadau.
Kama mu wazima wa afya basi jina la bwana lihimidiwe ?
Nakuja kwenu tuweze kubadilishana mawazo kuhusu tatizo linalonikabili ?
Ni kwamba mwenzenu kila ninapokutana faragha na patner wangu uume wangu huwa hautoi kabisa manii (yaani sipigi bao) japokuwa nasimamisha vizuri na nnapata raha zote.
Hata nikae mda gani kiunoni zaidi zaidi huwa naishia kuchoka tu .
Sasa basi naomba mnisaidie mawazo ?
(1) je huu ni ugonjwa ?
(2) kama ni ugonjwa unaitwaje kitaalamu ?
(3) nini husababisha tatizo hili ?
(4) je kuna madhala yoyote naweza kupata hapo baadae ?
Natanguliza shukurani zangu za dhati kwenu wadau.