Mutta
Senior Member
- Mar 24, 2011
- 101
- 11
Natumaini wana jf.Kuna e-mail zinatumwa kutoka kwa watu wanaojiita wakimbizi kutoka Nigeria na Ghana wapo Senegal kambini.Wanasema wazazi wao wamekufa kwenye Vita.Wanadai wanahitaji foreiners ili waweze kuhamisha fedha kwenye akauti zao.Ukianza utaratibu huo ,mara unaambiwa zinahitajika UK 200 kwa ajili ya kuandaa document fulani,mara UK 5000 nauli ya kusaifiri kwenda Kusaini document Uingereza? Je yamewakuta hayo?