Je huu ni mgomo wa wauguzi au ni serikali imeishiwa

Crashwise

JF-Expert Member
Oct 23, 2007
22,227
8,735
Katika hali inaoonyesha serikali ya CCM imeshindwa kapisa kuendesha nchi leo hii ninapoandika hakuna hospitali hata moja yenye dawa za chanjo kwa watoto...Hospitali nizopitia leo ni pamoja na Kaloleni, Mount Meru, St. Thomas, Kwa Babu, SELIAN, Levolosi..Nilipo wauliza wakasema hawajui itapatikana lini ila wakatuomba tupite kila siku mbaya zaidi katika hospitali ya wilaya(Arusha) yaani Kaloleni hata mizani haifanyikazi kwa wiki sasa hali hio imepelekea watoto kutkupa huduma zote mbili muhimu yaani chanjo pamoja na kupimwa uzito..je mliko wilaya zingine au mikoani kuna hali hiyo au watu Arusha mjini tunafanyiwa uhuni na CCM.

Na wasilisha
 
Katika hali inaoonyesha serikali ya CCM imeshindwa kapisa kuendesha nchi leo hii ninapoandika hakuna hospitali hata moja yenye dawa za chanjo kwa watoto...Hospitali nizopitia leo ni pamoja na Kaloleni, Mount Meru, St. Thomas, Kwa Babu, SELIAN, Levolosi..Nilipo wauliza wakasema hawajui itapatikana lini ila wakatuomba tupite kila siku mbaya zaidi katika hospitali ya wilaya(Arusha) yaani Kaloleni hata mizani haifanyikazi kwa wiki sasa hali hio imepelekea watoto kutkupa huduma zote mbili muhimu yaani chanjo pamoja na kupimwa uzito..je mliko wilaya zingine au mikoani kuna hali hiyo au watu Arusha mjini tunafanyiwa uhuni na CCM.

Na wasilisha

Umepita katika hizo hospitali kama nani? Mwandishi wa habari? Ananilea Nkya? , Hellen Bisimba? kwa kitambulisho gani kwa sababu huwezi kuongea na Uongozi wa taasisi yoyote bila utambulisho na kama hujaongea na uongozi wewe ni mpiga majungu tu. Tuambie katika hospitali fulani umeongea na fulani kama msemaji wa hospitali ili tukuamini. Nenda arumeru wanakusubiri Mkatukane wakati mwenzenu SIOI akimwaga sera.
 
Umepita katika hizo hospitali kama nani? Mwandishi wa habari? Ananilea Nkya? , Hellen Bisimba? kwa kitambulisho gani kwa sababu huwezi kuongea na Uongozi wa taasisi yoyote bila utambulisho na kama hujaongea na uongozi wewe ni mpiga majungu tu. Tuambie katika hospitali fulani umeongea na fulani kama msemaji wa hospitali ili tukuamini. Nenda arumeru wanakusubiri Mkatukane wakati mwenzenu SIOI akimwaga sera.

unatoka chooni hujananii nini make sijui unaogelea nini!we unadhani wenye haki ya kupita hospitalini ni ni watu amaalum?hujui una haki ya kujua kodi yako inatumikaje?we chizi kweli!
 
Taswira katika taifa.. halafu madr wakigoma kuboresha sekta ya afya wanaitwa wauaji! Serikali yetu ni wauaji wakubwa
 
Umepita katika hizo hospitali kama nani? Mwandishi wa habari? Ananilea Nkya? , Hellen Bisimba? kwa kitambulisho gani kwa sababu huwezi kuongea na Uongozi wa taasisi yoyote bila utambulisho na kama hujaongea na uongozi wewe ni mpiga majungu tu. Tuambie katika hospitali fulani umeongea na fulani kama msemaji wa hospitali ili tukuamini. Nenda arumeru wanakusubiri Mkatukane wakati mwenzenu SIOI akimwaga sera.
nimepita kwenye hospitali husika kama mtanzania...Hii topic haihusiani na mambo ya Arumeru na kutukana kwangu
 
unatoka chooni hujananii nini make sijui unaogelea nini!we unadhani wenye haki ya kupita hospitalini ni ni watu amaalum?hujui una haki ya kujua kodi yako inatumikaje?we chizi kweli!
tatizo ya watu waliko CCM akili zao hazifanyikazi na hutumia makalio kufikilia, kiasi kwamba hulazimisha nyekundu kuwa njano kitu ambacho hakiwezekani
 
Katika hali inaoonyesha serikali ya CCM imeshindwa kapisa kuendesha nchi leo hii ninapoandika hakuna hospitali hata moja yenye dawa za chanjo kwa watoto...Hospitali nizopitia leo ni pamoja na Kaloleni, Mount Meru, St. Thomas, Kwa Babu, SELIAN, Levolosi..Nilipo wauliza wakasema hawajui itapatikana lini ila wakatuomba tupite kila siku mbaya zaidi katika hospitali ya wilaya(Arusha) yaani Kaloleni hata mizani haifanyikazi kwa wiki sasa hali hio imepelekea watoto kutkupa huduma zote mbili muhimu yaani chanjo pamoja na kupimwa uzito..je mliko wilaya zingine au mikoani kuna hali hiyo au watu Arusha mjini tunafanyiwa uhuni na CCM.

Na wasilisha

La ni unjia panda!
 
Katika hali inaoonyesha serikali ya CCM imeshindwa kapisa kuendesha nchi leo hii ninapoandika hakuna hospitali hata moja yenye dawa za chanjo kwa watoto...Hospitali nizopitia leo ni pamoja na Kaloleni, Mount Meru, St. Thomas, Kwa Babu, SELIAN, Levolosi..Nilipo wauliza wakasema hawajui itapatikana lini ila wakatuomba tupite kila siku mbaya zaidi katika hospitali ya wilaya(Arusha) yaani Kaloleni hata mizani haifanyikazi kwa wiki sasa hali hio imepelekea watoto kutkupa huduma zote mbili muhimu yaani chanjo pamoja na kupimwa uzito..je mliko wilaya zingine au mikoani kuna hali hiyo au watu Arusha mjini tunafanyiwa uhuni na CCM.

Na wasilisha

Hospitali zote za serikali au baadhi? nadhani ungesema kuwa hospitali za baadhi ya wilaya au mkoa etc etc na SIYO ZOTE ! unapotosha
 
Umepita katika hizo hospitali kama nani? Mwandishi wa habari? Ananilea Nkya? , Hellen Bisimba? kwa kitambulisho gani kwa sababu huwezi kuongea na Uongozi wa taasisi yoyote bila utambulisho na kama hujaongea na uongozi wewe ni mpiga majungu tu. Tuambie katika hospitali fulani umeongea na fulani kama msemaji wa hospitali ili tukuamini. Nenda arumeru wanakusubiri Mkatukane wakati mwenzenu SIOI akimwaga sera.
...thatha twajua kuwa akili zako umezibinafsisha kwa m.a.g.a.m.b.a kwa hiyo kila kitu kinacho-hijita uelewa lazima ukimbie ukaombe kibali kwa hao waliokushikia akili...we endelea kushikiwa akili,tuache tunaomiliki akili zetu tutafakali na hatmae tuchukue hatua ya kujikomboa...hatuhitaji kibali cha hao watwana wako kuuona ubadhilifu,uzembe,ufisadi na ulegelege wa hii serikali yako ya m.a.g.a.m.b.a..."thatha amka mdogo wangu"...waambie hao m.a.g.a.m.b.a wakupe kibali cha kusikia japo kwa dakika moja tu,ili uweze kuisikia sauti hii ya ukombozi inayokuita...
 
Ao magamba wote pumbavu wakubwa,kila kitu wana pinga,ccm imechoka na serekali yake imechoka wakubali wakatae,wezi wakubwa pesa zavuja jasho zipo mifuko mwao.
 
Unashangaa kukosa chanjo? Labda kwasababu zinaagizwa nje ya nchi,kadi za watoto na wajawazito(makaratasi yanayochapishwa hapa tu) hakuna tangu septemba mwaka jana!
 
Heshima Watanganyika... Tetesi zilizopo ni kwamba Hazina wamefulia... ata mishahara ya watumishi wanasikilizia
TRA wakusanye ndiyo w/kazi walipwe.
 
Back
Top Bottom