Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Katika hali inaoonyesha serikali ya CCM imeshindwa kapisa kuendesha nchi leo hii ninapoandika hakuna hospitali hata moja yenye dawa za chanjo kwa watoto...Hospitali nizopitia leo ni pamoja na Kaloleni, Mount Meru, St. Thomas, Kwa Babu, SELIAN, Levolosi..Nilipo wauliza wakasema hawajui itapatikana lini ila wakatuomba tupite kila siku mbaya zaidi katika hospitali ya wilaya(Arusha) yaani Kaloleni hata mizani haifanyikazi kwa wiki sasa hali hio imepelekea watoto kutkupa huduma zote mbili muhimu yaani chanjo pamoja na kupimwa uzito..je mliko wilaya zingine au mikoani kuna hali hiyo au watu Arusha mjini tunafanyiwa uhuni na CCM.
Na wasilisha
Na wasilisha