Swala la malipo ya Dowans ni katika mojawapo ya mambo yaliyozua mjadala mzito kitaifa na kuvuta hisia kali kutoka kwa wale Watanzania wengi walio na uchungu na nchi yao. Nisingependa kuamini kuwa mahakama inafanya kazi zake kisiasa lakini kusomwa kwa hukumu hii wakati macho na masikio ya Watanzania yalikuwa katika uchaguzi mdogo wa Igunga naliona kama jambo la makusudi lililofanyika ili ku prempt mshtuko uliotegemewa kuwapata Watanzania kutokana na kubebeshwa mzigo wa malipo ya Dowans. Wana JF nasuburi maoni yenu.