Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,803
- 59,282
nashukuru wote jamani
@ CORAL, nimesoma hiyo nakala ya daily monitor imenifungua macho, thnx
@ Annael, nitajaribu kujirekebisha kwa siku saba mfululizo (God give me strength to do this) kama usemavyo, kuanzia sasa hivi
@Lizzy, yaani mamy nina kazi ya ziada katika hili la uongo kwa kweli. thx kwa kweli nimefunguka..kuanzia sasa hivi naacha hiyo kitu inaitwa Paranoia..kwa leo tu tayari nshaharibu hali ya hewa asubuhi..sasa naacha kabisa.
Noella pamoja na wewe kujirekebisha, inabidi nae aache uongo kama nia ya mahusiano yenu ni kufika mbali.