baina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 219
- 59
Wana jf ni kwamba kuna rafiki yangu jana alikuja kwangu kuangalia mechi kati ya fulham na t'ham akiwa amevaa shati la ccm, na kabla hajakaa nilimsihi aondoke mara moja kwa sababu zifuatazo:
1. Watoto wangu wanakosa sukari kisa ccm,
2. Hali ya maisha ngumu kisa ccm
3. Shureni hata test tubu hamna kisa ccm
4. Kila siku ni bora ya jana kisa ccm, n.k
kwa hali hii niliona siwezi kuona maisha yanakuwa magumu halafu eti wana ccm wako kwangu wanaangalia tv yangu binafsi na mbaya zaidi watoto wangu ambao sijui maisha yao yatakuwaje wakiwepo. Maamuzi haya ni sahihi?
1. Watoto wangu wanakosa sukari kisa ccm,
2. Hali ya maisha ngumu kisa ccm
3. Shureni hata test tubu hamna kisa ccm
4. Kila siku ni bora ya jana kisa ccm, n.k
kwa hali hii niliona siwezi kuona maisha yanakuwa magumu halafu eti wana ccm wako kwangu wanaangalia tv yangu binafsi na mbaya zaidi watoto wangu ambao sijui maisha yao yatakuwaje wakiwepo. Maamuzi haya ni sahihi?