gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Mdogo wangu MJ1,
Enzi zetu kila mtu alikuwa anatimiza wajibu wake, kuanzia shambani hadi kwa room.....Hatukuwa na mambo ya maneno maneno na longo longo.....Hizi technology zenu zitawamaliza na pressure!
Bibi ataachaje kujua nampenda 99.999% wakati matenga ya matunda hayaishi ndani na magunia ya mkaa hayashuki nusu, ...achia mbali kujituma kwenye kutelekeza amri ya kuijaza dunia??
Nawashauri hivi...Just be yourself and give whatever you can to keep your love!! Ikishindikana hapo...basi chapa lapa mapema.....Nimeeleweka??
Babu DC!!
well said babu DC. sijui siku hizi kwa nini vijana wanakuwa wanamezwa na mambo yasiyo na matunda katika maisha yaani wanakata tamaa mapema hawajiamini na wala hawaoni kama wanaweza kuishi.
yaani kama umeitetea ndoa yako kwa gharama ya busara na hekima yako pamoja na upendo na sala lakini haija work out what else do you do? unakaa pembeni kuepusha msongamano and no one will ask why?