MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
Wapendwa hamjambo? Nimewamiss
Kuna sehemu nimesoma eti matatizo ya mapenzi (Love problems) yanaweza pia kutokea iwapo mtu utaanza kuwa na mawazo ya "Je ninampenda zaidi ya anipendavyo? (do I love him/her more than s/he loves me?). Kwa sababu wanadai once utakapoanza kujiuliza swali hilo utaanza kuchanganua na kuexamine vitu vyote uvifanyavyo kwa penzi lenu, jinsi unavyo-express love yako kwa mpenzio, how much time and energy were putting into that relationship. Baada ya hapo utafuatia na kuanza kujiuliza na kuchunguza kama mpenzio ana-give back an equal amount kama unavyoweka wewe na mara tu utakapogundua mapungufu (discrepancy) kwenye hiyo balance sheet yako basi utaanza ku-back away from that relationship.
Eti we don't want to love more than they love kwa kuwa tunahofia kuwa kama tukipenda zaidi ya tupendwavyo basi we will be taken for granted and be played for a fool.
Source: Difficulties & Problems In Love Relationships
Najiuliza je ni kweli kuwa hatutakiwi kuyatathmini mahusiano yetu? Ukipenda na yeye ukahisi anakupenda mkakubaliana basi hakuna haja ya kuyachungua kwa mtindo huu?
Kuna sehemu nimesoma eti matatizo ya mapenzi (Love problems) yanaweza pia kutokea iwapo mtu utaanza kuwa na mawazo ya "Je ninampenda zaidi ya anipendavyo? (do I love him/her more than s/he loves me?). Kwa sababu wanadai once utakapoanza kujiuliza swali hilo utaanza kuchanganua na kuexamine vitu vyote uvifanyavyo kwa penzi lenu, jinsi unavyo-express love yako kwa mpenzio, how much time and energy were putting into that relationship. Baada ya hapo utafuatia na kuanza kujiuliza na kuchunguza kama mpenzio ana-give back an equal amount kama unavyoweka wewe na mara tu utakapogundua mapungufu (discrepancy) kwenye hiyo balance sheet yako basi utaanza ku-back away from that relationship.
Eti we don't want to love more than they love kwa kuwa tunahofia kuwa kama tukipenda zaidi ya tupendwavyo basi we will be taken for granted and be played for a fool.
Source: Difficulties & Problems In Love Relationships
Najiuliza je ni kweli kuwa hatutakiwi kuyatathmini mahusiano yetu? Ukipenda na yeye ukahisi anakupenda mkakubaliana basi hakuna haja ya kuyachungua kwa mtindo huu?