OGOPASANA
JF-Expert Member
- Apr 30, 2009
- 262
- 144
Heshima kwenu wakuu, kiukweli huwa naumizwa na jinsi Africa tunavyoshindwa kusonga mbele kimaendeleo ili hali chanzo chake na suluhu yake tunafahamu kwani ni kama "factors for the rise and fall of african empires" kipindi nasoma history sekondary, yaani hakuna jipya. Swali langu ni je kuna UWEZEKANO TUKAONGEZA SHERIA YA KUNYONGA HADHARANI KWA KILA ATAKAYEHUJUMU UCHUMI WA NCHI YETU????? zaidi ya hapo ni brah brah na propaganda huku viongozi na wenye nyadhifa wakijilimbikizia mali za walipa kodi na wenye nchi.
nawasilisha.
nawasilisha.