Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Wana JF;
Kuna rafiki yangu nlikuwa naye majuzi kati. yeye ni Daktari ila aliniambia haya kuhusu mahusiano kwamba:
1. Mhasibu yeyote lazima katika maisha yake siku moja atafanya mapenzi na house Girl
2. Daktari lazima atamuonja nesi
3. Mhandisi lazima katika maisha yake atamlamba Sekretari hapa pia yupo mwandishi wa habari
4. Mwanasheria na bar maid huwa hapatoshi hapa pia yupo mwanasiasa
5. Mwalimu lazima anuse kwa mwanafunzi katika maisha yake
7. Polisi/mwanajeshi hawaikosi zinaa ya Changudoa
JAMANI MAONI YA HUYO DAKTARI YANA UKWELI WOWOTE?
Je, wewe katika tasnia yako ulishawahi kuingia kwenye orodha hiyo?
Kuna rafiki yangu nlikuwa naye majuzi kati. yeye ni Daktari ila aliniambia haya kuhusu mahusiano kwamba:
1. Mhasibu yeyote lazima katika maisha yake siku moja atafanya mapenzi na house Girl
2. Daktari lazima atamuonja nesi
3. Mhandisi lazima katika maisha yake atamlamba Sekretari hapa pia yupo mwandishi wa habari
4. Mwanasheria na bar maid huwa hapatoshi hapa pia yupo mwanasiasa
5. Mwalimu lazima anuse kwa mwanafunzi katika maisha yake
7. Polisi/mwanajeshi hawaikosi zinaa ya Changudoa
JAMANI MAONI YA HUYO DAKTARI YANA UKWELI WOWOTE?
Je, wewe katika tasnia yako ulishawahi kuingia kwenye orodha hiyo?