Ni katika mauaji yaliyofanywa na POLISI pale Morogoro Shigela ambaye anajiita kijana wa CCM na anatambulika hivyo na Wanaojiita vijana wenzake pale CCM, alisema kuwa mauaji ya Morogoro hayaingii akilini kwa kuwa POLISI waliwaona CHADEMA kwa nini waue mtu asiye CHADEMA na akasema kuwa lile haliingii akilini mwake na kama haliingii akilini mwake basi CHADEMA walihusika.
Swali la kujiuliza hili la MUFINDI limeingia akilini mwa SHIGELA? na kama limeingia je ni POLICCM ? kwasababu policcm waliwaona waliokuwa wakifungua tawi iweje wakamuuua mwandishi wa habari?
Swali la kujiuliza hili la MUFINDI limeingia akilini mwa SHIGELA? na kama limeingia je ni POLICCM ? kwasababu policcm waliwaona waliokuwa wakifungua tawi iweje wakamuuua mwandishi wa habari?