figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,485
- 54,857
- Thread starter
- #41
senetor wewe mpambe sana...duh..!!munakuwa kama husninyo!.lakini miashangaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
senetor wewe mpambe sana...duh..!!munakuwa kama husninyo!.lakini miashangaaaa
<br />duh,wewe kweli ni mia kila siku.<br />
shuka 80 kidogo au panda 200 u experience the difference
<br />Hayo ndiyo maisha ya kimjini mjini Tamthiria nyingi sana kila demu yeye ni mjanja tu hata kama mporipori. Yaani kila demu anatamani kubinua maziwa na nguo za kukaa uchi hasa zinazobana masaburi..................... tazama kaka Mia hiki ni kizazi kile ambacho kilitajwa kizazi cha laana na uzinzi na uasherati yaaani tabu tupu.
hahahaa...!!kaunga usiumize kichwa mkuu.nitembelee utajua maana ya mia.miaNadhani anamaanisha (missing in action) LOL
mkuu nashindwa nmusikilize nani.king'asti anataka niseme buku,husninyo anataka niseme buku mbili,wewe nae eti 80 na mimi nataka mia kwa sababu ndo asilimia zote.nikikupa mia ni sawa na 100%.bila shaka ni kukubaliana na mawazo yako au kukubali nisemacho.miaduh,wewe kweli ni mia kila siku.
shuka 80 kidogo au panda 200 u experience the difference
umeona eeh..!!.miaHii ni hatari sana kwa Taifa la leo.