Mbona wana jf wengi wenu ni wachangiaji wazuri tu WA MADANYINGI SANA HUMU isipokuwa hiyo au mnaogopa kama mimi je hii ni kweli au ni upotoshaji jamii WA MAKUSUDI.
Na kama ni kweli je Si HAKI KWA WAMERU Kudai ardhi yao hata kwa ncha ya upanga na kusapotiwa na WATANZANIA WENZAO
Naomba kutosema mengi ila hiyo nayo ni changamoto kwetu wote wazalendo bila Kuwa na itikadi za kikabila,kidini,kisiasa
Na kama ni kweli je Si HAKI KWA WAMERU Kudai ardhi yao hata kwa ncha ya upanga na kusapotiwa na WATANZANIA WENZAO
Naomba kutosema mengi ila hiyo nayo ni changamoto kwetu wote wazalendo bila Kuwa na itikadi za kikabila,kidini,kisiasa