BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Ina maana wanaume hawawezi kukaa na shemeji zao wa kike, lazima wawamendee...!?
Sasa kulikuwa na haja gani kwa huyu mwanaume kukaa na shemejie ilhali hamna watoto wala nini...bora huyu shemejie angeenda Dom kumsaidia mama na mjamzito...
Kwa mazingira kama hayo, mtu na shemejie mwaka mzima lazima wamendeane!!!