Nyakwaratony
JF-Expert Member
- Dec 21, 2011
- 573
- 140
Mamboz! Naombeni ushauri juu ya hili……. Juma na Asha ni wapenzi, Juma anafanya kazi Mkoani Dodoma, Asha anafanya kazi Mkoani Tanga. Sasa kuna rafiki yake ya Asha anatarajia kufunga ndoa hivi karibuni. Asha amemwambia Juma ambaye ni mpenzi wake kuwa "mwezi ujao nitakuja Dodoma kwenye harusi ya rafiki yangu flani naomba twende wote harusini".
Juma akamjibu Asha mimi sitakwenda kwa sababu sipendi kwenda kwenda kwenye sherehe, vile vile Juma akamuuliza kwani hiyo harusi yafanyika sehemu gani yaan mtaa gani? Asha akamjibu sijajua make kadi ya harusi sijapewa ila nikipewa nitakujulisha.
Sasa Asha anaomba ushauri je ni haki kwa Juma kutomsindikiza Asha harusini kwa kigezo kwamba hapendi kwenda kwenye sherehe? Je ni haki Asha aende kwenye sherehe pekeyake afu arudi mida ya usiku wa manane kama mjuavyo harusi huwa zinachelewa kuisha. Naomba wewe mchangiaji ujiweke katika position ya Asha au ya Juma kisha unishauri.
Asanteni!!!!!!!
Juma akamjibu Asha mimi sitakwenda kwa sababu sipendi kwenda kwenda kwenye sherehe, vile vile Juma akamuuliza kwani hiyo harusi yafanyika sehemu gani yaan mtaa gani? Asha akamjibu sijajua make kadi ya harusi sijapewa ila nikipewa nitakujulisha.
Sasa Asha anaomba ushauri je ni haki kwa Juma kutomsindikiza Asha harusini kwa kigezo kwamba hapendi kwenda kwenye sherehe? Je ni haki Asha aende kwenye sherehe pekeyake afu arudi mida ya usiku wa manane kama mjuavyo harusi huwa zinachelewa kuisha. Naomba wewe mchangiaji ujiweke katika position ya Asha au ya Juma kisha unishauri.
Asanteni!!!!!!!