Kwa mtazamo wangu kama hizi hisia zipo basi zitakuwa zinasukumwa na siasa uchwala za makundi na uwoga wakufanya maamuzi magumu kama ilivyotokea kwenye uteuzi wa spika,si mliona mizengwe iliyofanyika dakika za mwisho kutoka hata kusikojulikana ilikuja formula mpyaaaaa ya kupokezana zamu kwa jinsia katika mihimili mitatau ya dola sijui ilitoka wapi?. sasaili kuepuka haya makundi yaliyoanza kujianisha katika kuelekea 2015, kwa kifupi linatafutwa jibu jepesi kwa maswali magumu ili kuahairisha tatizo(mpambano) na kuondoa lawama kwa wanamitandao wote. But time will tell.