Hili la kuchoma Qur'ani Takatifu kwa kweli si jambo jema lakini naomba niwatetee hawa jamaa wa Mwanza. Hawa watu walipinga bet katika ubishi, Waislam wakadai ukichoma Qur'ani haishiki moto na ikiungua unakufa hapo hapo. Jamaa akabisha akasema mi naiwasha na inaungua na sifi. Wakamwambia choma.wanachoma Qur'an Tukufu wakati Waislam hawajawahi kuchoma Biblia
Jamaa akawasha kiberiti, Qur'ani kama tunavyojua kama Biblia imetengenezwa kwa makaratasi ya miti hii hii ya kawaida ya mpapule, ikaanza kushika moto, mara Qur'ani nyakanyaka. Waislam kusubiri jamaa a drop dead, wanaona jamaa hafi, ikabidi jamaa awaulize, bado muda gani umebaki wa kusubiri nianguke, naweza kuondoka? Si ndo Waislam wakaita Takbir! wengine wakaitikia Alahu Akbar! wakaanza kumchapa Mkristo, Mkristo akawachomoka, na anapumua mpaka leo. Sasa kwa kweli hapo sijui tuseme mkosi nani.