KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Yaani tupoteze miaka kumi kwa sababu hiyo hapo juu? Ze last taim tulipotumia vigezo vya ajabu ajabu kama hicho ulichotaja kilichotokea wote ni mashahidi. Mimi sitampigia mtu kura eti kwasababu anatoka sijui wapi, oh kwasababu huko sijui wapi hawajakalia kiti muda mrefu, NO! Na kama CCM watamsimamisha mtu kwa kigezo hicho, mbona oltenativu zipo nyingi?
Hata wao wazenj wanajuta this time kujaribu kuwaachia jk kwa kutumia kigezo cha kutopeana zamu,lakini nchi tumeiharibu sisi wabara kupitia mkapa wetu na jk wetu ndio kaja kuua kabisa,ngoja wao wakae wajaribu kurekebisha,unajua wazenj na matatizo yao yote la ufisadi tunawafunika,sisi wabara tukipata nafasi huwa tunakula kupita kiasi,wao hawana sana tatizo la ufisadi,ili tupone mgombea wa ccm atoke kwao..!